rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
mimi-mkulima-akacheka-sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wow thanks mkuuMaxence Melo [emoji120]
Pascal Mayalla[emoji122]
Kasie[emoji3059]
manengelo[emoji7]
Depal[emoji8]
Mshana Jr[emoji109]
yna2[emoji8]
SweetieLee[emoji257]
FaizaFoxy😉[emoji8]
Shadeeya[emoji3059]
Khantwe[emoji307]
Atoto[emoji179]
Kiranga[emoji736]
LAST BUT NOT LISTED
popote ulipo i know u can not run away from this forum ONTARIO (master mind)[emoji817]
Vipi mkuu lost umeicheki?? Niambie kama ni nzuri niangalieNakukubali sana endelea kutupa madini.
Jamani ahsante japo umekosea jina langu ila najua ulikusudia kunitaja mimi. Au kuna mwingine tunafanana I'd isijekuwa najimwambafai tu hapa[emoji41]
Jamani ahsante japo umekosea jina langu ila najua ulikusudia kunitaja mimi. Au kuna mwingine tunafanana I'd isijekuwa najimwambafai tu hapa[emoji41]
Niliicheck kitambo sikuipenda niliishia season 3, ila icheck huwezi jua unaweza kuipenda.Vipi mkuu lost umeicheki?? Niambie kama ni nzuri niangalie
Nimeishia ep5 naona hamna kituu.. Homeland je iko vipi..?Niliicheck kitambo sikuipenda niliishia season 3, ila icheck huwezi jua unaweza kuipenda.
Homeland ni super sana ila kuanzia season 4 nayo haikunivutia kivile ila niliimaliza. Go for itNimeishia ep5 naona hamna kituu.. Homeland je iko vipi..?
Hahah kwamba umepigwa na butwaa?![emoji848]View attachment 1259643
Daah nishajirostisha... Kweli unapofanya kuangalia muvi usisikilize upambe wa wa wana JF. Wanaingizana mkengeHomeland ni super sana ila kuanzia season 4 nayo haikunivutia kivile ila niliimaliza. Go for it
Hii Id kila nikiona nacheka.
Homeland ni super sana ila kuanzia season 4 nayo haikunivutia kivile ila niliimaliza. Go for it
Naanza kuzifahamu tastes zako!!Niliicheck kitambo sikuipenda niliishia season 3, ila icheck huwezi jua unaweza kuipenda.
Mkuu nashukuru sana. Nimefarijika mno kwa kutambua mchango wangu hapa jukwaani. Tuko pamoja katika kuendesha gurudumu hili la Jamiiforums. Barikiwa sana.Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2019. Hiki ni kikosi changu bora. Nafurahishwa na kuelimishwa na michango ya members wengi sana ila hawa nimetokea kuwaelewa sana..
1. Mshana Jr
2. Chige
3. OKW BOBAN SUNZU
4. Salary Slip
5. Khantwe
6. Shadeeya
7. Baba swalahe
8. FORTALEZA
9. joanah
10. Smart 911 (cc mahondaw)
11. manengelo
=====UPDATES======
Kwakua teams haichezi bila wachezaji wa akiba tuongeze hapa..
SUBS :
Mzigua90, Ghazwat, CHIEF-MKWAWA, extrovet, Sky Eclat, Bujibuji, wa stendi, Mwifwa
binti kiziwi
Unaweza panga kikosi chako pia.
UZI TAYARI.