First eleven yangu ya members wa JF 2019

Uzi siupendi huu! Umekaa kujuana juana Tuu...Ndio maana niliweka uzi wangu Tusiojulikana ukafutwa hapa,hii changamoto isipoangaliwa hapa nayo ni jipu haki nawaambia humu kuna makundi.
Hahaha mkuu inachukua miaka mingi sana kutengeza jina lako hapa na ukajulikana. Vingenevyo act kama @kidukulilo utajulikana fasta tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…