First Lady anaestahili pongezi ni Melaine Trump

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Ukiwaa partner wa mwanasiasa inabidi ujifunze kuwa na tabasamu la bandia mbele ya camera. Hata kama mligombana usiku kucha.

Sasa bibie yule kama kila siku wanajitokeza wanawake wenye madai ya kulazimishwa kufanya ngono na Trump. Kwakweli ninajiweka kwenye miguu yake hata nafasi ya fake smile huioni.
 
Sijui ni usingizi wangu, ngoja nitairudia Alfajiri na mapema
 
Wanafanyanaye jumba jeupe au walifanya naye kabla au ni gani?
by the way, mke wa pili huwa hana wivu sana
 
Wanafanyanaye jumba jeupe au walifanya naye kabla au ni gani?
by the way, mke wa pili huwa hana wivu sana
Taswira anayomjengea ni kama vile na yeye ni wa kutoka kwenye danguro
 
Taswira anayomjengea ni kama vile na yeye ni wa kutoka kwenye danguro

of course, hana tofauti na walioko huko. given her background too.
Sijui sana, lakini sijawahi kuwaamini sana wanamitindo, wanamziki, waigizaji - kwa kifupi niseme wasanii. Huwa wana sanii mpaka maisha yao wenyewe
 
of course, hana tofauti na walioko huko. given her background too.
Sijui sana, lakini sijawahi kuwaamini sana wanamitindo, wanamziki, waigizaji - kwa kifupi niseme wasanii. Huwa wana sanii mpaka maisha yao wenyewe
Unamaanisha Prince Harry pia ameingia cha kike?
 
Unaijua a.k.a ya Trump ya enzi hzo? Walimuita Ladies' man, Melania ni Mke wa tatu wa Trump anamjua vzur kuwa jamaa ana penda totoz na ana hela lazma totoz ata zipata tuu. Japo ndio story zina mdisturb ila anapswa kuvumilia ndio siasa hzo.
Nawaamini wanao sema walilala naye kwa hiari, wanao sema walilazimishwa wale ni waongo tuu.
Pia ukimuita Melania mvumilivu,
Utamuongeleaje Hillary Clinton ambaye mme wake alimcheat akiwa Rais, tena ali pigia tukio kwenye ofis ya rais na Monica? Wacha hizi stori za Trump za miaka 11 ilo pita.

Melania pia, sidhani kama hata ana mpenda Trump basi kihiivoo, bibi alikuwa ameolewa na pesa tu pale. So hata umia kwa kuwa alisalitiwa ila kwa kwakuwa ni kama anaibishwa, anajua kuwa Trump ni tabia yake hiyo kupenda wanawake tho.

Ila mama jesca ndio mvumilivu wa kweli tuache uongo jaman mwee!
 


I don't care how much she's worth, but my heart goes to her kwa kweli!

Sio kwa infedelities hizi za mume na watu alio cheat nao, tena wakati Melania alikuwa na kachanga.
 

Stori za 2006-2007 Melania alipokuwa ametoka tu kujifungua.
Inaonekana kibaba Trump alikuwa ana fanya yake na Porn stars.


Iceman, ni kweli Clinton na hata Kennedy walicheat lakini ona watu walio cheat nao, na hawa alio cheat nao Trump

By the way uliangalia Interview ya Stormy?!, did you see how she went in details about what she did with him?!
 
Melaine amejaribu kuweka brave face, alisema ukiwa First Lady unahitaji kuwa understanding, uelewe jinsi ya ku deal na issues zinazotoka kwenye media, Jana mzee amerudi mwenyewe, bi shost hataki hata uso uonekane kwenye media
Nalendwa Iceman 3D
 
Melaine ame karibu kuweka brave face, alisema ukiwa First Lady unahitaji kuwa understanding, ikiwezekana jinsi ya ku deal na issues zinazotoka kwenye media, Jana mzee amerudi mwenyewe, ni shost hataki hata uso uonekane kwenye media
Nalendwa Iceman 3D


Yaani huyu mama kwa kweli anapita mapito si mchezo. Halafu ukizingatia U first lady alikuwa hata hana mpango nao, na hata mambo ya siasa kwa ujumla.

Halafu leo hii anasikia mzee aliingiza porn star mpaka chumbani kwao wakati yeye bado ananyonyesha..
 
Hiyo sentensi ya mwisho sasa[emoji23][emoji23]bokasa atakitafuta shauri yako
 
Iceman, ni kweli Clinton na hata Kennedy walicheat lakini ona watu walio cheat nao, na hawa alio cheat nao Trump

By the way uliangalia Interview ya Stormy?!, did you see how she went in details about what she did with him?!
Kennedy hakuwa ana cheat tuu he was a serial womanizer, yaan mpaka CIA na FBI walikuwa wana mwambia mzee ounguza una hatarisha taifa.

Niskudanganye Stormy hata akija saihiz mi natembea naye, she was good those days na.Donald alikuwa mtu wa kwenye entertinement at least hakuwa kwenye Tittle ya Rais kama alivo kuwa Clinton. Hii namtetea the donald hapa.

Skuangalia maana nilijua sitapata lolote jipya. I think story ya mahusiano ni ya kweli, ila ile ya kutishiwa ni uongo mtupuu.

Hahahah ila Trump wame mkamiaa mwaka huu.
 
Melaine amejaribu kuweka brave face, alisema ukiwa First Lady unahitaji kuwa understanding, uelewe jinsi ya ku deal na issues zinazotoka kwenye media, Jana mzee amerudi mwenyewe, bi shost hataki hata uso uonekane kwenye media
Nalendwa Iceman 3D
Hahahah
Anaumia ndani kwa ndani nadhani ugomvi wao wanajitahid wasituoneshe ila mambo si mazuri. Mama amekasirika sana.

Hilo walipanga toka kitambo lilitangazwa toka alhamisi. Melania had to stay behind with Barron.
Sema ndoa yao ni unique [emoji23]
 
Yaani huyu mama kwa kweli anapita mapito si mchezo. Halafu ukizingatia U first lady alikuwa hata hana mpango nao, na hata mambo ya siasa kwa ujumla.

Halafu leo hii anasikia mzee aliingiza porn star mpaka chumbani kwao wakati yeye bado ananyonyesha..
Hahahah
Melania was stripping for men magazines
How can a stripper feel disgraced when her husband cheated her with a porn star!!!
Akaushe kimyaaa![emoji23].

Japo Non Disclosure act ndio itawasumbua Mr Pres na Cohen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…