First lady mtata aliyempeleka puta Rais wa Marekani kisha kumuua

First lady mtata aliyempeleka puta Rais wa Marekani kisha kumuua

Aisee Mimi nitaoa mwanamke mjanja, mwerevu na smart sana upstairs... Mungu anisaidie.
 
Ahsante
Ila sidhani Kama First Lady anaweza zuia uchunguzi wa mwili wa Rais aliyefariki kifo chenye kutoa Shaka!
 
Ndugu mwandishi nafurahi umeandika makala hii lakini kuna baadhi ya ishu factually si kweli.

First lady hakumuua Harding hii ni conspiracy tuu, ina sadikika kuwa Harding alikufa kwa magonjwa ya moyo au aah ugonjwa mwengine nime usahau mpaka nika google sasa.
Kumbuka Harding alikufa na miaka 58, avarage ya kuishi kwa mwaka 1923 kwa mwanaume wa ki marekani ilikuwa ni miaka 56 na miezi kadhaa.
Pia Rais Harding alikuwa mgonjwa wa muda mrefu kabla hajauwa rais. Kwa hiyo possibly wana historia wanakubaliana kuwa ni dhana isiyo kuwa na uhakika kuwa Florence alimuua.

Kuhsu uchaguzi wa 1920. Harding angeshinda kwa bamna yyte ile, japo in the long shot kweli ilikuwa ni vigumu kumtabiri ila soon after the conventions ilijulikana lazima angeshinda.
Na alishinda kwa kishindo.

Florence na Harding wasinge elewana saana kwa kuwa Harding alikuwa womanizer mkubwaa.

But mengine umeniongezea elim
Shukran sana.
 
Ndugu mwandishi nafurahi umeandika makala hii lakini kuna baadhi ya ishu factually si kweli.

First lady hakumuua Harding hii ni conspiracy tuu, ina sadikika kuwa Harding alikufa kwa magonjwa ya moyo au aah ugonjwa mwengine nime usahau mpaka nika google sasa.
Kumbuka Harding alikufa na miaka 58, avarage ya kuishi kwa mwaka 1923 kwa mwanaume wa ki marekani ilikuwa ni miaka 56 na miezi kadhaa.
Pia Rais Harding alikuwa mgonjwa wa muda mrefu kabla hajauwa rais. Kwa hiyo possibly wana historia wanakubaliana kuwa ni dhana isiyo kuwa na uhakika kuwa Florence alimuua.

Kuhsu uchaguzi wa 1920. Harding angeshinda kwa bamna yyte ile, japo in the long shot kweli ilikuwa ni vigumu kumtabiri ila soon after the conventions ilijulikana lazima angeshinda.
Na alishinda kwa kishindo.

Florence na Harding wasinge elewana saana kwa kuwa Harding alikuwa womanizer mkubwaa.

But mengine umeniongezea elim
Shukran sana.
Pamoja Chief na ndo maana umeona nimeandika inasadikika huku mwishoni achana na kichwa cha makala kule juu
 
Ahsante
Ila sidhani Kama First Lady anaweza zuia uchunguzi wa mwili wa Rais aliyefariki kifo chenye kutoa Shaka!
Ukifa leo kiutata sio lazima familia yako ikubali mwili kufanyiwa uchunguzi wanakataa na serikali inaruhusu uzikwe alikataa kama mkewe na si first lady
Soma utaelewa ya kuwa alikataa yeye na si mwingine
 
Ni kweli mkuu na sijui kwa nini wamarekani huwa mara nyingi hawamtaji huyo jamaa japo aliwaongoza
Harding aliongoza hovyo sana na uongozi wake ulijaa skendo si mtu ambaye wanajivunia sana kwenye historia yao. Huwa wana muweka kwenye list ya marais wabovu na kina george bush huko.

Mrithi wake Calvin Coolidge ndio alikuwa vizuri na historia inampenda
 
Harding aliongoza hovyo sana na uongozi wake ulijaa skendo si mtu ambaye wanajivunia sana kwenye historia yao. Huwa wana muweka kwenye list ya marais wabovu na kina george bush huko.

Mrithi wake Calvin Coolidge ndio alikuwa vizuri na historia inampenda
Ok ahsante chief ngoja nimtafute Calvin nione uongozi wake ulikuwa vipi ahsante kwa hilo
 
Ok ahsante chief ngoja nimtafute Calvin nione uongozi wake ulikuwa vipi ahsante kwa hilo
Sawa mtafute mimi huwa nadhani Coolidge walikuwa ndio wake Classical presidents.
He was good.
 
Kwa hapa bongo mke wa Mwinyi ndo anaweza kuwa kama huyo....mpaka ikafika pahala akamkosanisha mwinyi na mkuu wake wa majeshi...ndipo nyerere akamwambia nchi haiwezi kuongozwa na mke wake
 
Back
Top Bottom