First lady mtata aliyempeleka puta Rais wa Marekani kisha kumuua

First lady mtata aliyempeleka puta Rais wa Marekani kisha kumuua

labda sheria za kipindi hicho zilikua zinaruhusu,huwezi jua
 
Kwa hapa bongo mke wa Mwinyi ndo anaweza kuwa kama huyo....mpaka ikafika pahala akamkosanisha mwinyi na mkuu wake wa majeshi...ndipo nyerere akamwambia nchi haiwezi kuongozwa na mke wake
Hebu funguka zaid,au fungua thread Mkuu
 
Hivi hapa Bongo kuna First Lady alietikisa kuliko Salma Kikwete?

Ilifikia hatua akipiga Ziara Mikoani anapokelewa Na kamati ya Ulinzi na Usalama na anasomewa Repoti ya Maendeleo Na Usalama ya Mkoa Na anatoa Maelekezo ya kiutendaji

Hivi vichwa vya Treni tulivyookota Bandarini aliwahi kwenda kuvikagua kabla havijaja

Anna Mkapa yeye hakuwa Na Kick, yeye alikuwa busy Na upigaji tu
Salma hawezi mfikia Mke wa Mwinyi au Anna Mkapa
 
Hivi hapa Bongo kuna First Lady alietikisa kuliko Salma Kikwete?

Ilifikia hatua akipiga Ziara Mikoani anapokelewa Na kamati ya Ulinzi na Usalama na anasomewa Repoti ya Maendeleo Na Usalama ya Mkoa Na anatoa Maelekezo ya kiutendaji

Hivi vichwa vya Treni tulivyookota Bandarini aliwahi kwenda kuvikagua kabla havijaja

Anna Mkapa yeye hakuwa Na Kick, yeye alikuwa busy Na upigaji tu
Nafikiri uhusika au mchango wa first lady katika nchi unatoa picha kamili ya namna ya ushirikishwaji wake katika mambo ya kifamilia pia.

Hii ni kutokana na tafiti mbali mbali nilizozifanya maktaba.
 
Mtu ambae ndio angekuja Kutamba na Sifa kibao ni Regina Lowasa huyo mwanamama angesumbua sana, Bora tu tuko Bi Jannete magufuli First lady asie na makuu
 
Historia ya Harding imenitia nguvu Katika ndoto zangu za kugombea Urais 2025
 
Hivi hapa Bongo kuna First Lady alietikisa kuliko Salma Kikwete?

Ilifikia hatua akipiga Ziara Mikoani anapokelewa Na kamati ya Ulinzi na Usalama na anasomewa Repoti ya Maendeleo Na Usalama ya Mkoa Na anatoa Maelekezo ya kiutendaji

Hivi vichwa vya Treni tulivyookota Bandarini aliwahi kwenda kuvikagua kabla havijaja

Anna Mkapa yeye hakuwa Na Kick, yeye alikuwa busy Na upigaji tu
Haaahaaa.... that ended up before the dawn
 
Hivi hapa Bongo kuna First Lady alietikisa kuliko Salma Kikwete?

Ilifikia hatua akipiga Ziara Mikoani anapokelewa Na kamati ya Ulinzi na Usalama na anasomewa Repoti ya Maendeleo Na Usalama ya Mkoa Na anatoa Maelekezo ya kiutendaji

Hivi vichwa vya Treni tulivyookota Bandarini aliwahi kwenda kuvikagua kabla havijaja

Anna Mkapa yeye hakuwa Na Kick, yeye alikuwa busy Na upigaji tu

Hata First Lady mama Siti alikula bata sana.

Wahenga wanakumbuka mambo ya stela artoi(akitoa kalewa).

Mpaka mwalimu aliwahi kusema nchi inaendeshwa na mama.
 
Back
Top Bottom