Rasasem
Senior Member
- Jun 25, 2022
- 100
- 79
- Thread starter
- #21
Ahsante sana ubarikiweChuo Kuna mengii.......
Jitahdii kusoma kwa bidii, fanya assignment, hudhuria vipind, fanya test na ue, accordingly km huna sababu ya special.
Tengeneza network nzurii na marafk, ukiwa chuon itakusaidia mbelen.....
Kufurahia maisha napo sio mbaya usijitese kisa upo chuo.... Kuwa na mipaka tuu.
Salii au amini ktk unachoaminii.....
Usome ufaulu sup sio nzurii..... Mdg angu