First year ukiingia tu chuo kiasi hkii unapewa mkononi"

First year ukiingia tu chuo kiasi hkii unapewa mkononi"

du ukiingia tu unapewa 702,500.00 Shilingi laki saba na elfu mbili na mia tatu. mi nakwambiaje hata wadogo zako wa shule za kata utawasomesha,utanunua ni vijiunga vya ugali upeleke home. uwezi watupa home, mana hali ya maisha ni ngumu.BOOM is BOOM. maisha bora kwa kila mwanafunzi/ usitafute demu, watamaliza zote, mana nywele tu za kimasai kusuka 15000 na kila baada ya siku 3. saluni almost kila siku. skin jeans shoping kila jmos. msosi wao chips mayai, kuku. simu anataka blackberry. waambie wazazi kijijini wakutafutie mke.

hiyo lak 7 inatakiwa itumike kwa mda gan
 
du ukiingia tu unapewa 702,500.00 Shilingi laki saba na elfu mbili na mia tatu. mi nakwambiaje hata wadogo zako wa shule za kata utawasomesha,utanunua ni vijiunga vya ugali upeleke home. uwezi watupa home, mana hali ya maisha ni ngumu.BOOM is BOOM. maisha bora kwa kila mwanafunzi/ usitafute demu, watamaliza zote, mana nywele tu za kimasai kusuka 15000 na kila baada ya siku 3. saluni almost kila siku. skin jeans shoping kila jmos. msosi wao chips mayai, kuku. simu anataka blackberry. waambie wazazi kijijini wakutafutie mke.

Inachukua muda gan kupewa hzo pesa baada ya kufungua chuo, kuna watu wanasema inaweza chukua mwez ni kweli?
 
kutokana na mwongozo toka HESLB, fedha italipwa kwa awamu awamu (quaterly), yaani, kika baada ya miezi miwili, ambayo huwa 7500(60)=450000+stationery(200000)=650000. Hii ndiyo fedha unayopata jumlisha kiwango cha ada.
 
du ukiingia tu unapewa 702,500.00 Shilingi laki saba na elfu mbili na mia tatu. mi nakwambiaje hata wadogo zako wa shule za kata utawasomesha,utanunua ni vijiunga vya ugali upeleke home. uwezi watupa home, mana hali ya maisha ni ngumu.BOOM is BOOM. maisha bora kwa kila mwanafunzi/ usitafute demu, watamaliza zote, mana nywele tu za kimasai kusuka 15000 na kila baada ya siku 3. saluni almost kila siku. skin jeans shoping kila jmos. msosi wao chips mayai, kuku. simu anataka blackberry. waambie wazazi kijijini wakutafutie mke.

mkuuuuuuuu najisikia huzuni na nawachukia sana mademu wa chuo kama nn vile kuna mmoja aliniambia nimpeleke mlimani city akale duuuuuuuh! Nilibadilisha laini na kwa vile tunasoma kozi tofauti ikawa imenisaidia maana mh!? Maisha
 
kutokana na mwongozo toka HESLB, fedha italipwa kwa awamu awamu (quaterly), yaani, kika baada ya miezi miwili, ambayo huwa 7500(60)=450000+stationery(200000)=650000. Hii ndiyo fedha unayopata jumlisha kiwango cha ada.

eeh bhana eeh !! Nishapata pesa ya kununulia ng'ombe wa maziwa
 
Ushauri wa bure ni kwamba tusiwazie sana starehe kwa aka kahela sana sana kwa ambao hawatapata mkopo 100%, kuwa na ma2mizi mazuri ili kiasi kingine kikubost kwenye ada.
 
he he heeeee ntapiga msosi wanguvu we acha tu
Food-2.jpg

Udom oyee!
 
kaka mziki wa vete unadhani utakumbuka hizo ki2,

aah !! Kaka hata kipindi niko o-lvl nilikuwa nasikia eti pcb,pcm,cbg ukisoma hizo kozi lazma ufulie !! But maybe itakuwa ngumu so nitajihidi kusoma ka upepo
 
Mtapewa kwa awamu mbili.Fahamuni ya kwamba hakuna fedha nyingi.Mimi nimebahatika kupata kazi ya sensa,sielewi hata fedha iliko potelea.Nime nunua kitu cha ukumbusho cha 20,000/=.
 
Maisha yamepanda sana.Kwasasa hiyo fedha sikitu.Kuna mambo mengi.
1.Stationaries
2.Msosi(menu)
3.Hostel/nyumba
4.Photocopy kila baada ya lecture
5.Voucher
6.Na mambo mengine yafananayo na hayo.
Mkipata hiyo fedha kuweni makini msijekosa fedha ya nauli mwishoni mwa semerter.
 
Jaman nafurahia hy education furom kiukwel mana mna2juza meng cc 2jao huko machuon. 10x jaman
 
tutawakalibisha tena vijana wa sensa(1st year boom) baada ya miezi 2 kuleta ushuhuda wenu wa matumizi ya boom aksanteni...
 
Mpaka uzipate hizo utakuwa una-madeni nusu au zaidi ya nusu ya hizo pesa, sasa usombe ukawa uanasoma Dar na Home ni mwanza au bukoba kmbk na nauli ni hapohapo. Ukienda kichwakichwa utalia. ndo pale mnaanza kupiga pasi za Lampard(pasi ndefu) aka U-turn
 
Kiukweli hyo hela brother hata ujibane vp garama za kimaisha zpo juu sana,sidhani kama itatosha kwa mwanafunzi,am not sure, tena kwa ushauri mzuri tu wale ndug zangu first year, ni bora uonekane mjinga kwenye kundi la wajanja for your benefit.sio mwenzako kila siku anaenda kula Leopard hotel na wewe unaiga utapotea ghafla.lingine ni hawa akna mwanayumba, yaani watazkomba zote hutaamini what happened.so kuweni makini na hyo hela,watoto wa Mama salma wanawasubiri kwa hamu kubwa sana.
 
du ukiingia tu unapewa 702,500.00 Shilingi laki saba na elfu mbili na mia tatu. mi nakwambiaje hata wadogo zako wa shule za kata utawasomesha,utanunua ni vijiunga vya ugali upeleke home. uwezi watupa home, mana hali ya maisha ni ngumu.BOOM is BOOM. maisha bora kwa kila mwanafunzi/ usitafute demu, watamaliza zote, mana nywele tu za kimasai kusuka 15000 na kila baada ya siku 3. saluni almost kila siku. skin jeans shoping kila jmos. msosi wao chips mayai, kuku. simu anataka blackberry. waambie wazazi kijijini wakutafutie mke.

Kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Keep dreaming don't wake up
 
du ukiingia tu unapewa 702,500.00 Shilingi laki saba na elfu mbili na mia tatu. mi nakwambiaje hata wadogo zako wa shule za kata utawasomesha,utanunua ni vijiunga vya ugali upeleke home. uwezi watupa home, mana hali ya maisha ni ngumu.BOOM is BOOM. maisha bora kwa kila mwanafunzi/ usitafute demu, watamaliza zote, mana nywele tu za kimasai kusuka 15000 na kila baada ya siku 3. saluni almost kila siku. skin jeans shoping kila jmos. msosi wao chips mayai, kuku. simu anataka blackberry. waambie wazazi kijijini wakutafutie mke.
tumetoka mbali jamani..............
 
Wakuu tujipange sana coz najua wengi wetu pesa kiasi hicho hatujawahi kuzimiliki hivyo pesa inatabia ya kukuyumbisha kama ww ukishindwa kuicontrol so 2jipange sana maana kuna uwezekano wa kusahau kabisa kile kinachotupeleka vyuon na kudhan 2ko picnic,
 
Back
Top Bottom