bado wengine wanafurahia kuchaguliwaila loan body wakitema mtaiona tz chungucha msingi mpigie el kura yako na shawishimzazi ili chuo msome bure otherwise kuna watakao enda na watakao baki nyumbani aminini nawaambia inauma sanaaa muulize yeyote ilo mtokea.Elimu NI hali ya kila mtu ila kwa tz hususanngazi za juu NI kulazimishianaa maana wapo watu wamekwepa kuomba koz muhimu kwa sababu ya mkopo.na bado sikuiz zile za priority kozi nazo NI probability,unaweza pewa ada lakin ukapata laki1 ama wengine wanapewa mpaka2000 mwisho wa siku boom lote unalipia ada kama Mimi na engineering yangu,pia unaweza kufata mkopo kwa koz fulan lakin ukakosahamu ya kusoma kwa kozi hyooona mwisho unadisco ama kuacha kusoma kabsa hivyo muhimu sana kufanya maamuzi sahihi ndani ya sanduku la kura.CHAGUA LOWASA USOME BURE