First year wote wa 2015/2016 UDOM tukutane hapa

First year wote wa 2015/2016 UDOM tukutane hapa

bado wengine wanafurahia kuchaguliwaila loan body wakitema mtaiona tz chungucha msingi mpigie el kura yako na shawishimzazi ili chuo msome bure otherwise kuna watakao enda na watakao baki nyumbani aminini nawaambia inauma sanaaa muulize yeyote ilo mtokea.Elimu NI hali ya kila mtu ila kwa tz hususanngazi za juu NI kulazimishianaa maana wapo watu wamekwepa kuomba koz muhimu kwa sababu ya mkopo.na bado sikuiz zile za priority kozi nazo NI probability,unaweza pewa ada lakin ukapata laki1 ama wengine wanapewa mpaka2000 mwisho wa siku boom lote unalipia ada kama Mimi na engineering yangu,pia unaweza kufata mkopo kwa koz fulan lakin ukakosahamu ya kusoma kwa kozi hyooona mwisho unadisco ama kuacha kusoma kabsa hivyo muhimu sana kufanya maamuzi sahihi ndani ya sanduku la kura.CHAGUA LOWASA USOME BURE
 
hatuta tembelea na wala hatutaki maelekezo ya aina yoyote ile tumeshaamua kwa pamoja hatutasoma chuo cha kata never

We kikoozi jiheshimu.
We endelea kuandka ujinga wako ukidhan hatukuoni wala hatukufaham,nimeishafatilia taarfa zako zote na comment zako zote be care mdogo wangu.
 
Nendeni na maneno ya mitaani eti mnaenda kuchukua degree udom mfurahishwe.
Degree pale now sio three years. Ukisoma ndo three years, unaweza kugraduate mapema.
All the best.
 
Nimechagulowa collage of earth science..GEOLOGY..
KUNA GROUP LA WATSAP FIRST YR UDOM NA WA MIAKA MIAKA MINGNE WANAKARBISHWA..WEKA NAMBA YAKO MI NTAKUUNGNISHA
WALE WA BATA TUJIANDAE
 
amahan wakuu nimechaguliwa coz ambayo ni non
priorty UDOM (BED-AME) Sina mzazi mmoja na
mwingine ni mlemavu hivi mkopo nitapata kweli???
 
uli attach barua y daktari(kuthibitisha mzaz mmoja n mremavu) na cheti cha vifo ktk app za heslb???
 
Back
Top Bottom