First year wote wa 2015/2016 UDOM tukutane hapa

First year wote wa 2015/2016 UDOM tukutane hapa

unalog in vzur au unatumia cmu ya mkoono
nenda net ww
Teh! whatchu saying fam? U think sjajaribu icho unachonambia? And in case u din' know... haina haja ya kwenda net, (nadhani unazungumzia cafe), I've my own PC
 
Kuna mikenge imeumbwa kukatisha wenzao Tamaa tu, kama wewe unajiona matawi ya juu nenda kasome oxford
 
Teh! whatchu saying fam? U think sjajaribu icho unachonambia? And in case u din' know... haina haja ya kwenda net, (nadhani unazungumzia cafe), I've my own PC

du adi print machine unayo we kiboko

ila ckukuuliza kama una pc nilitoa tu ninavo zani
 
Kuna mikenge imeumbwa kukatisha wenzao Tamaa tu, kama wewe unajiona matawi ya juu nenda kasome oxford

bila shaka ni uyo aliesema ana pc yake

nikweli kwann aangaike udom siiaende oxford au london princple
 
unalog in vzur au unatumia cmu ya mkoono
nenda net ww
Wale wa 2nd round TCU ambao profile zao zimeandikwa wamechaguliwa UDOM lakini still ni provisional selected wanaweza kulog in hapo na kupata hiyo admission letter?
 
du adi print machine unayo we kiboko

ila ckukuuliza kama una pc nilitoa tu ninavo zani

Huuhuuu.. guessing ain't gud! Afu ata sikukwambia unikumbushe kuwa na printer ipo pia!! Isiwe kesi, lets pass that and get over it
 
bila shaka ni uyo aliesema ana pc yake

nikweli kwann aangaike udom siiaende oxford au london princple

Eeh??! Duuhh... sjaona iyo connection kati ya "Mm kuwa na PC" & "Kwenda Oxford"... anyways.. I didn't say that to offend or to show off... Yaishe, I'm not comfortable wit all that BS
 
Umechaguliwa chuo cha kata umefurahi kweli ww hamnazo kabisaaaaaaa

Unahitaji maombi..Ni wewe ignorant ndo unafikiria ujinga huo.What matters ni unasomea nn na unafaulu&kuelewa kiasi gani.
Fainali ni kwenye Ajira.
NIKUKUMBUSHE.
Kuna Shule za kata zinafanya vizuri kuliko Mzumbe/Ilboru/KilakAla
Vyuo unavyoviamini wewe ignorant vimebakia majina tuuu.Tumeshawaacha wengi tu kwenye interview.
 
Back
Top Bottom