Baadhi ya waliotajwa katika ripoti hiyo ya Dk. Mwakyembe, kwamba wanahusika na Richmond kwa namna mbalimbali ni pamoja na Mbunge wa Igunga (CCM), Mhe. Rostam Aziz, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. Johnson Mwanyika na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa , Dk. Edward Hosea.
ROSTAM AZIZI ALIENDA KUWASHITAKI MWANAHALISI MAHAKAMANI KUWA WALISEMA YEYE ALIHUSISHWA KWENYE RICHMOND SASA ALASIRI WAMESEMA NGOJA TUONE KAMA ATAENDA MAHAKAMANI KUPAMBANA NA MENGI AU ALIKUWA ANAMWONEA KUBENEA .