Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
Hapa naona hoja ya Mtikila inaanza kupata "mashiko" kuwa huyu RA sio mwenzetu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna taarifa kuwa lile sakata la mkataba tata baina ya Serikali na kampuni ya kuzalisha umeme ya Richmond limechukua sura mpya baada ya baadhi ya vigogo maarufu kuanza kuliwa mingo ili wadakwe kabla ya kuchukua hatua zozote za kutimkia nje ya nchi. Hivi kuliwa mingo kama alasiri wanavyosema ni kukua kwa kiswahili ama?