Ni samaki gani huyu?
Unajua hata mtoni kuna samaki mkunga
Ndiyo hivyoItakuwa idadi yao ilileta tishio la kuja kutoweka baadae
Ndio najuaUnajua hata mtoni kuna samaki mkunga
Yuko kama nyoka,baharini pia wapo
Ova
Ulikuwa ukiuzaje?Ndiyo hivyo
Nishawavua nliwawinda sana mafia
Ova
Wana jina lakeHuyu mbona kama mnyoo?
Alaf Dume ndio linalozaaHawa wanangu huwa hawana haraka na maisha yao kabisa😁😁 pia ni mafundi kwenye swala zima la upendo wa kweli
View attachment 2101778
Wakati ule kuna jongoo kg ilikuwa 40Ulikuwa ukiuzaje?
Kama zombieSijawi kujua kama kuna watu wanakula huyu samakiView attachment 2101764
Mvuta bangi huyoPiranha