Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeangalia join date yako nimekusamehe bure mdogo wangu, hakuna shabiki mkuu wa Yanga kwa wanawake hapa JF kunizidi, mimi ni Yanga damu!Dad mbna sikuonagi kwenye Uzi wa yanga au umejiunga humu majuz nin
Nitakuwa nakutag uje upambane na shabiki wa Simba mtukutu dada Kalpana
OKW BOBAN SUNZU njoo hukuWatani watanuna[emoji4]
Kuna nini?Hakuna kitu hapo
Haaland anasubiriMayele ni jini
Acha kulinganisha mrundi vs Mkongo man
Ni tofauti ni kwakuwa hakuwa na baya na mtusi kuna msemo naona unaenezwa humu unasema kwamba (ukiondoka Yanga kwisha habari yako) tena na mifano ikatolewa kedekede. Sasa inakuwaje kwa Mayele inakuwa tofauti!
Mayeleeeeeeeee
Wewe ndio mgeni huku, huyo tunaye kitambo tu, alikuwa honeymoon.Dad mbna sikuonagi kwenye Uzi wa yanga au umejiunga humu majuz nin
Nitakuwa nakutag uje upambane na shabiki wa Simba mtukutu dada Kalpana
Kama john boko 😂Kaotea...
Labda wewe ndio humjuiDad mbna sikuonagi kwenye Uzi wa yanga au umejiunga humu majuz nin
Nitakuwa nakutag uje upambane na shabiki wa Simba mtukutu dada Kalpana
Nakukubali tangu enzi za jangid plaza bado tupo pamoja by the way mwambie dingilai amalizie NONOKA basi katuweka sanaNimeangalia join date yako nimekusamehe bure mdogo wangu, hakuna shabiki mkuu wa Yanga kwa wanawake hapa JF kunizidi, mimi ni Yanga damu!
Uwe unakuja kwenye matukio live, kwenye thread kidogo sipo active.
Na nilipotea kiasi, so ni ngumu kunijua.
Kisa hakuwa Simba..!!??Kaotea...
Si kama yule wa sukari na ugaliBila shaka Mayele aliondoka Yanga kwa baraka zote that's why anazidi kung'ara.
Aziz k mwakani hatunaye tena
The first time naona video ya afande wa Zenji nilijua ni yule dogo.Si kama yule wa sukari na ugali