Fiston Mayele anazidi kutetema Misri

Fiston Mayele anazidi kutetema Misri

Dad mbna sikuonagi kwenye Uzi wa yanga au umejiunga humu majuz nin

Nitakuwa nakutag uje upambane na shabiki wa Simba mtukutu dada Kalpana
Nimeangalia join date yako nimekusamehe bure mdogo wangu, hakuna shabiki mkuu wa Yanga kwa wanawake hapa JF kunizidi, mimi ni Yanga damu!
Uwe unakuja kwenye matukio live, kwenye thread kidogo sipo active.

Na nilipotea kiasi, so ni ngumu kunijua.
 
si kuna msemo naona unaenezwa humu unasema kwamba (ukiondoka Yanga kwisha habari yako) tena na mifano ikatolewa kedekede. Sasa inakuwaje kwa Mayele inakuwa tofauti!
Ni tofauti ni kwakuwa hakuwa na baya na mtu

Alikuja vizuri na akaondoka vizuri
 
Vipi SAKHO huko ufaransa au anafanya usafi vyumba vya wachezaji😅
 
Nimeangalia join date yako nimekusamehe bure mdogo wangu, hakuna shabiki mkuu wa Yanga kwa wanawake hapa JF kunizidi, mimi ni Yanga damu!
Uwe unakuja kwenye matukio live, kwenye thread kidogo sipo active.

Na nilipotea kiasi, so ni ngumu kunijua.
Nakukubali tangu enzi za jangid plaza bado tupo pamoja by the way mwambie dingilai amalizie NONOKA basi katuweka sana
 
Back
Top Bottom