Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm napenda sana chips yaani nitafanya mazoez lakn chips nitakula hata mara moja lw wik mbili hiv au tatuchips siyo ishu sana nitakuwa nakula mara moja kwa mwezi.
Kama vyote huwez basi jaribu kutafuta cd za mazoez ufanye muda wowotw ukijisikia huko chumban kwakoMimi nina 175cm nina kg 76 natamani sana kupungua nifike 70 ila inashindikana, nakula mara moja kwa siku mchana na usiku nakula matunda au greens, sinywi bia huwa natumia pombe kali ila mara moja moja, inshort kwenye kula nina nidhamu, kukimbia nashindwa sababu nakosa company, mwili wangu ni mwepesi yaani sijaludhikana nyama wala sina tumbo mpaka sometimes nawaza labda ni u-giant maana baba yangu na mama wote ni warefu. Msaada tafadhali.
Nni kweli kabisa,yaan utakuta mtu anafanya mazoez makali kisa kamuona fulan anafanya hvyo!mm naenjoy sana mazoez na huwa na shauri watu hayo niyafanyayo,nina cd zangu za aerobic kila siku nafanya lisaa limoja nikitok hapo nimesweat halafu nina raha maana unajihisi uko nao!Fanya mazoezi yako kuwa rahisi,utaenjoy sana
Chips hazikwepeki.Mm napenda sana chips yaani nitafanya mazoez lakn chips nitakula hata mara moja lw wik mbili hiv au tatu
Heehehe kabisaaChips hazikwepeki.
Kazana mwaya,hicho kitambi chako siyo issue kabisa!!Ni kweli nabidi nikazane haswaaa.....
Hata mie niliisikia hiyo.Heehehe kabisaa
Kuna rafik yang mmoja aliniambia bora ule chipa kuliko wali maana unene ulioko kwwnye chips s saw na wa wali
Kama leo nimevaa sket nimechomekea yani katumbo kametangulia mbele kama kamimba.....yani kamenikera.Kazana mwaya,hicho kitambi chako siyo issue kabisa!!
Heheheheh basi kama tumesikia wawili tuihalalishe[emoji28][emoji28]tule kwa raha zetu ila tusisaha mazoez haahahaHata mie niliisikia hiyo.
Mm nna kitambi cha bia
Naamuaga kufanya mazoezi kinaisha lkn kikiisha naacha mazoez kinarudi khaaa
Ss hv kimezidi
Mazoez nafanya leo kesho kutwa naacha cjui nifanyeje jaman khaa
Hahaaaaa.....eti tuhalalishe.Heheheheh basi kama tumesikia wawili tuihalalishe[emoji28][emoji28]tule kwa raha zetu ila tusisaha mazoez haahaha
Nashukuru kwa taarifa. Kuanzia kesho gym inahamia homeHahah halafu wana makusudi
Wakijua unawatazama pale
kwenye running machine
I love you for your innerNashukuru kwa taarifa. Kuanzia kesho gym inahamia home
TakiiiiI love you for your inner
inner inner[emoji173]
mke ni usiku sasaTakiiii