Wanasema heri kuonja kuliko kuacha kula, ubarikiwe sana π€Nimekutana na mengi mkuu, na sijawahi kua mchoyo kwenye fursa shekh...π€¨
Mining ipi km ni northmara njoo utanikuta huku1. Nafasi ni moja.
2. Sihitaji mambo mengi.
3. Weka namba yako ya simu pm.
3. Hakikisha umekamilika.
4. Uzowefu usipungue mwaka 2.
TAHADHARI:-
A. Vijana mkitaka kusaidiwa basi jitahidi kuwa na fully nondo.
B. Tatizo langu mimsela lakini nipo a bit smart upstairs...π
C. Kazi ni mining.
D. Mshahara ni kuanzia 600k.
E. Sichukui rushwa wala sipendelei mtu.
F. Njoo na vigezo, tutakufanyia usahili online.
G. Mwisho wa maombi ni tarehe 7 August 2024 hrs 13:00
Jamani jamani1. Nafasi ni moja.
2. Sihitaji mambo mengi.
3. Weka namba yako ya simu pm.
3. Hakikisha umekamilika.
4. Uzowefu usipungue mwaka 2.
TAHADHARI:-
A. Vijana mkitaka kusaidiwa basi jitahidi kuwa na fully nondo.
B. Tatizo langu mimsela lakini nipo a bit smart upstairs...π
C. Kazi ni mining.
D. Mshahara ni kuanzia 600k.
E. Sichukui rushwa wala sipendelei mtu.
F. Njoo na vigezo, tutakufanyia usahili online.
G. Mwisho wa maombi ni tarehe 7 August 2024 hrs 13:00
Siwezi kukaa kimya wakati natafuta kazi ya sisi tuliokimbia shule.Mpwa, ebu kaa kimya kwanza...π
Nataka nijue ni wapi, kuna mining ambazo cwez kufanya kazi, sio mimi bali siruhusiwiYaani mimi nije nikufuate wewe kwa mining industry...π€
Big No man....π
SawaNikianza kuondoka Chunya nitakusemesha mpwa..
π€Nimekutana na mengi mkuu, na sijawahi kua mchoyo kwenye fursa shekh...π€¨
Hakuna fitter aliyekamilika anayeweza kuchukua mshahara wa 600k.Stay blessed mkuu...
Wazee tukiwachana vijana wanatubadilisha eti "tunazingua" qudadadeq....π€₯
Let's start the game...Hakuna fitter aliyekamilika anayeweza kuchukua mshahara wa 600k.
Nakuhakikishia, ukimpata wa kumlipa laki sita njoo unipige mawe.
Kuna kampuni pale nyarugusu Geita nao wanatafuta fundi, wao wanatoa 750,000. Hawajawahi kupata hadi kesho.