Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

Inakuwa kama umekopa benki bila makubaliano, unairudisha baada ya muda fulani, hiyo ni kwa current accounts tu
Hiyo fixed account mimi naitaka.

Nataka kufungua niweke kiasi cha pesa kila mwezi baada ya miezi 12 ndo nataka kuitoa.

Je hakuna pesa ambayo nitakatwa kama malipo ya kuwalipa kunitunzia pesa ?

Je ikitokea kuna tatizo nikahitaji kutoa pesa kwa muda usiokuwa nimeandika inakuwaje ?

Na je inawezekana nikawaambia benki husika wanikate kwenye mshahara moja kwa moja pale unapoingia uende kwenye fixed account ?

Nijibu hayo niendelee maana ninaitaka hyo fixed account.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea na benki, na kiwango cha riba wanayotoa! riba nyingi najua hazizidi 10%
Hiyo fixed account mimi naitaka.

Nataka kufungua niweke kiasi cha pesa kila mwezi baada ya miezi 12 ndo nataka kuitoa.

Je hakuna pesa ambayo nitakatwa kama malipo ya kuwalipa kunitunzia pesa ?

Je ikitokea kuna tatizo nikahitaji kutoa pesa kwa muda usiokuwa nimeandika inakuwaje ?

Na je inawezekana nikawaambia benki husika wanikate kwenye mshahara moja kwa moja pale unapoingia uende kwenye fixed account ?

Nijibu hayo niendelee maana ninaitaka hyo fixed account.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo fixed account mimi naitaka.

Nataka kufungua niweke kiasi cha pesa kila mwezi baada ya miezi 12 ndo nataka kuitoa.

Je hakuna pesa ambayo nitakatwa kama malipo ya kuwalipa kunitunzia pesa ?

Je ikitokea kuna tatizo nikahitaji kutoa pesa kwa muda usiokuwa nimeandika inakuwaje ?

Na je inawezekana nikawaambia benki husika wanikate kwenye mshahara moja kwa moja pale unapoingia uende kwenye fixed account ?

Nijibu hayo niendelee maana ninaitaka hyo fixed account.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu vipi mbona imekuwa fujo sasa?
 
Wanawake bhana kwa kupenda hela...

Hizo Mara nyingi wanapewaga makampuni mbali mbali ya biashara au ya ujenzi,

Na si kwamba unaruhusiwa tu kujitolea no kuna kuwa na kiwango husika mfano mwisho milioni mia sita,na pia unaweka dhamana mfano gari lenye thamani ya zaidi ya million mia mbili,viwanja na nyumba.

Pia ni kwa kipindi cha mwaka mmoja tu,baada ya hapo unaenda kurenew kiuhasibu inaitwa bank overdraft
Vipi wakati wa kurejesha kile kiasi ulichozidisha kukitoa kunakuwa na Riba?
 
Unaonaje kama nikichukua mkopo WA benki mahali na kiasi kukitupa huko kama biashara? Kitaaluma inakuwaje hii.
 
Mi sipendi mtu unamuuliza maswali alafu hajibu.


Sasa hivi asipojibu nitajua kuwa dharau ama hajui,mana nimetuma mpaka wasomaji mvimbiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa inawekwa mara moja tu,
Yaani huwezi kuongeza wala kupunguza ndani ya mkataba husika(kwa jibu rahisi ni kwamba ukianza kuweka 1m huwezi kuongeza wala kuipunguza hadai mda mliokubaliana ufike labda kama utavunja mkataba na ukivunja utachajiwa penalti)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sipendi mtu unamuuliza maswali alafu hajibu.


Sasa hivi asipojibu nitajua kuwa dharau ama hajui,mana nimetuma mpaka wasomaji mvimbiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amna huwezi kujua labda jamaa yupo busy au labda maswali yako yapo nje ya uwezo wake mpaka afanye utafiti ndio aje kukupa majibu ya uhakika.....

Tuvute tu subira mkuu...
 
Pesa inawekwa mara moja tu,
Yaani huwezi kuongeza wala kupunguza ndani ya mkataba husika(kwa jibu rahisi ni kwamba ukianza kuweka 1m huwezi kuongeza wala kuipunguza hadai mda mliokubaliana ufike labda kama utavunja mkataba na ukivunja utachajiwa penalti)

Sent using Jamii Forums mobile app
Alaaa kumbe sio ile ya kuwa unaweka laki kila mwezi ?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake bhana kwa kupenda hela...

Hizo Mara nyingi wanapewaga makampuni mbali mbali ya biashara au ya ujenzi,

Na si kwamba unaruhusiwa tu kujitolea no kuna kuwa na kiwango husika mfano mwisho milioni mia sita,na pia unaweka dhamana mfano gari lenye thamani ya zaidi ya million mia mbili,viwanja na nyumba.

Pia ni kwa kipindi cha mwaka mmoja tu,baada ya hapo unaenda kurenew kiuhasibu inaitwa bank overdraft
Asante maana nilikuwa sijaelewa.

Lkn mkuu kwani kuna mtu asiependa hela kweli!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika benki za biashara kuna aina tatu za akaunti, kwa kiingereza zikifahamika kama ‘Savings account’, ‘Current accounts’ na ‘Fixed accounts’

Ukiachana na majina ambayo benki itaamua kuipa akaunti husika lakini huangukia katika aina hizo za akaunti. Namba moja ni akauti ya kuhifadhi pesa ambayo mara nyingi huwa na gharama za uendeshaji na hela yake hupungua kadiri inavyozidi kukaa benki

‘Current accounts’ hii ina sifa kuu ya mtu kuweza kutoa kiwango zaidi ya alichonacho katika benki husika. Mara nyingi huwa wanaziita akaunti za biashara na mwenye akaunti katika aina hii huwa na kitabu cha hawala/hundi

‘Fixed account’ hii ni aina ya akaunti ambayo inalipa mara baada ya muda wake mliokubaliana kuisha. Hii tu huweka pesa benki kwa muda fulani benki nyingi huanzia miezi mitatu, na mtu hatoruhusiwa kutoa hela kwenye akaunti yake hadi muda waliokubaliana kufika

Aina hii ya akaunti hutoa riba kwa aliyeweka hela na haina nyingi hazina makato ya uendeshaji. Aina hii ya akaunti ni moja kati ya uwekezaji mzuri kwa mtu asiyeweza kashkashi za biasahara au akiwa amepata hela ya ghafla na hajui afanyie nini

Ni sawa kuweka hela benki lakini ukiweka kwa ‘savings account’ ni sawa na kuweka mfukoni na muda wowote unaweza kuitoa, lakini ‘fixed account’ mtu hawezi kutoa hela hadi muda utimie

Ukiachilia mbali kuwa na gawio baada ya muda, akaunti hizi pia hutumika kama dhamana ya mikopo kwa taasisi mbalimbali

Signed

Oedipus
Nikiweka 100M naweza kupata riba kiasi gani kila mwezi kwa makadirio tu.
 
Hiyo fixed account mimi naitaka.

Nataka kufungua niweke kiasi cha pesa kila mwezi baada ya miezi 12 ndo nataka kuitoa.

Je hakuna pesa ambayo nitakatwa kama malipo ya kuwalipa kunitunzia pesa ?

Je ikitokea kuna tatizo nikahitaji kutoa pesa kwa muda usiokuwa nimeandika inakuwaje ?

Na je inawezekana nikawaambia benki husika wanikate kwenye mshahara moja kwa moja pale unapoingia uende kwenye fixed account ?

Nijibu hayo niendelee maana ninaitaka hyo fixed account.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwango cha fixed account mara nyingi huanzia laki 5 kwa benki nyingi,

Unaweza kuweka kila mwezi ila inakuwa ni separate account kwa kuwa fixed iko fixed kwenye time na deposits, yaani ukishakubaliana hauwezi kuongeza deposits wala kuongeza muda wa kuiva kwako.

Hayo masuala ya kutoa hela kwenye mshahara bado sijajua

Pia ukiwa na tatizona unataka hela kwa haraka unawezaukakopa benki hiyo hiyo ukitumia fixed account kama dhamana
 
Nikiweka 100M naweza kupata riba kiasi gani kila mwezi kwa makadirio tu.
Ingia kwenye benki unayotaka kuweka hela, angalia viwango vyao utajua utakachopata baada ya mwaka mmoja
 
Back
Top Bottom