FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

nimezungumza na wazee unaruhusiwa kumpenda kabisa kama dadako.. any monkey business tunakutimua kijijini.. Hayo ndiyo maagizo ya wazee.

Kama bado hajaelewa aje nimuombee.... samahani kama nimewakwaza!!
 
Preassure is mine ew nashukuru kwa uelewa wako nafurahi kujua wewe ni mama kama mie natumaini tutaongea lugha moja sasa
 
mi nilipumzika jana nilikua hoi week-end ilianza alhamis,leo baadae labda,nawewe umelala kwel kwel jana inaelekea ulikua anga tamu
Niko busy nasaka mihela miaka 15 baada ya beijing no weekend babukijana
 
Babukijana msg rcvd with much rgds will come back to u soon eeh nina matatizo ya kiufundi kule,tetetetetet
 
Babukijana msg rcvd with much rgds will come back to u soon eeh nina matatizo ya kiufundi kule,tetetetetet
ha haaa ha,hope utafix,isije ikawa kibabu kimefanya urasimu na wazee wa kijiji wakapiga ufisadi maana mikwara yake duuh.πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…