Wanawake wenye tamaa huwa wanafiki sana. Hasa hawa wetu huku. Huyu ni mwanamke maarufu aliandika yake ya moyoni kuwa anavutiwa kingono na wanaume weusi.
Ijapo bwana yake simfahamu, hiyo ni kengele ya tahadhari kwamba anaweza kufanya chochote na mtu mweusi aliyevutiwa naye. Ninahisi bwana wake hana hiyo rangi nyeusi. Huenda yuko naye kwa tamaa ya pesa na umaarufu wake. Ila havutiwi naye kingono.
Ila sasa ni kwanini hakutafuta huyo mweusi hadi anasubiri kapata mwanaume mwenye light skin color ndipo anatangaza yake ya moyoni leo?
Namtakia balaa zito kwa kujaribu kumuumiza mwanaume wake sasa, wakati alikuwa ana nafasi ya kumkataa kwa vile ana choice yake, yaani wanaume weusi.
Ijapo bwana yake simfahamu, hiyo ni kengele ya tahadhari kwamba anaweza kufanya chochote na mtu mweusi aliyevutiwa naye. Ninahisi bwana wake hana hiyo rangi nyeusi. Huenda yuko naye kwa tamaa ya pesa na umaarufu wake. Ila havutiwi naye kingono.
Ila sasa ni kwanini hakutafuta huyo mweusi hadi anasubiri kapata mwanaume mwenye light skin color ndipo anatangaza yake ya moyoni leo?
Namtakia balaa zito kwa kujaribu kumuumiza mwanaume wake sasa, wakati alikuwa ana nafasi ya kumkataa kwa vile ana choice yake, yaani wanaume weusi.