Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwa sababu hata huko kusaidia wenye shida wanafanya ili waonekane mbele za watu ili baadaye wajiingize kwenye kisima cha mambo ya hovyo-yaani siasa hizi, na ndio maana, wanaposaidia wanaongozana na makamera ya waandishi wa habari. Lakini neno la Mungu katika Mathayo 6:1-4 linasema:Flora baki na huduma aliyokupa Mungu
Huduma ya kuwasaidia wenye shida hasa watoto, walemavu ni huduma ya kiroho
Usijitenge na Mungu
Mungu wetu ni wa ajabu sana
Siasa itakufundisha mengine usiyoyatarajia
Uko sahihi hawa ni Wanafiki kama wale wengine tuNi kwa sababu hata huko kusaidia wenye shida wanafanya ili waonekane mbele za watu ili baadaye wajiingize kwenye kisima cha mambo ya hovyo-yaani siasa hizi, na ndio maana, wanaposaidia wanaongozana na makamera ya waandishi wa habari. Lakini neno la Mungu katika Mathayo 6:1-4 linasema:
“Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni. Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na watu. Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume; sadaka yako iwe kwa siri; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.”
📌Ni kwa sababu hata huko kusaidia wenye shida wanafanya ili waonekane mbele za watu ili baadaye wajiingize kwenye kisima cha mambo ya hovyo-yaani siasa hizi, na ndio maana, wanaposaidia wanaongozana na makamera ya waandishi wa habari. Lakini neno la Mungu katika Mathayo 6:1-4 linasema:
“Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni. Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na watu. Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume; sadaka yako iwe kwa siri; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.”
Tayari. AnajutaHivi Joyce kiria yeye hajapewa dawa huko kwny kura za maoni?
Hahah amenyooshwa kwa kura ngapi?Tayari. Anajuta
Siri yakeHahah amenyooshwa kwa kura ngapi?
Kuna mtu alikuwa hata akitoa futari ya mwezi mtukufu lazma kuwe na ma camera( live coverage). Alimsaidia mtu kwenda kutibiwa uti wa mgongo abroad,alipeleka waandishi wa habari na camera zao mpaka kwenye ndege. Nina hakika yule shehe mpenda wali na mialiko ana stress Sana Sasa hvNi kwa sababu hata huko kusaidia wenye shida wanafanya ili waonekane mbele za watu ili baadaye wajiingize kwenye kisima cha mambo ya hovyo-yaani siasa hizi, na ndio maana, wanaposaidia wanaongozana na makamera ya waandishi wa habari. Lakini neno la Mungu katika Mathayo 6:1-4 linasema:
“Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni. Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na watu. Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume; sadaka yako iwe kwa siri; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.”
Huyo nae walewale wapigaji,tinamjua kiundani ubunge atausikia mwanza sio wajinga wampeFlora baki na huduma aliyokupa Mungu
Huduma ya kuwasaidia wenye shida hasa watoto, walemavu ni huduma ya kiroho
Usijitenge na Mungu
Mungu wetu ni wa ajabu sana
Siasa itakufundisha mengine usiyoyatarajia
Nakubali kauli yako kwa 100%.Wengi wetu hatuamini kwamba unaweza igusa jamiii na kuacha legacy bila kuniingiza kwenye siasa.
Yani wanaamini uongozi ni kuingia serikalini tu basi.
Siku hizi nae anajiita Dr'Phd ya heshima.'Huyo nae walewale wapigaji,tinamjua kiundani ubunge atausikia mwanza sio wajinga wampe
Huyo elimu yake sijui kama amefika sekondari,anafikiria shemeji yake dialo atambebaSiku hizi nae anajiita Dr'Phd ya heshima.'
Elimu imedharauliwa sana.
Mwanza hawanaga wakuja kwenye viti maalumu,itakua alishauriana na shemeji yake ambebe hukoKumbe mbwembe zote zile kutoa misaada target ni ubunge angejua wale wajumbe wa ccm hawaangaliagi ma TV yao asingejisumbua