Uchaguzi 2020 Flora Lauwo wa Nitetee Foundation atia nia Viti Maalum, CCM

Uchaguzi 2020 Flora Lauwo wa Nitetee Foundation atia nia Viti Maalum, CCM

Ni kwa sababu hata huko kusaidia wenye shida wanafanya ili waonekane mbele za watu ili baadaye wajiingize kwenye kisima cha mambo ya hovyo-yaani siasa hizi, na ndio maana, wanaposaidia wanaongozana na makamera ya waandishi wa habari. Lakini neno la Mungu katika Mathayo 6:1-4 linasema:

Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni. Basi wewe utoapo sadaka, usipige panda mbele yako, kama wanafiki wafanyavyo katika masinagogi na njiani, ili watukuzwe na watu. Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe utoapo sadaka, hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume; sadaka yako iwe kwa siri; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.”
Ukiwa huria waweza timua hayo makamera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupe matokeo kamili. Pia ya Joyce Kiria kule Kilimanjaro
Itakuwa wajumbe wamempiga spana nilichojifunza ili upate ubunge uwe na hela za kuonga waliopata viti maalumu wengi ni wabunge waliopokea kiinua mgongo juzi ndo walihonga, wasio na hela ilikula kwao, Bora mtu akipata Mara moja next time aende jimboni
 
Back
Top Bottom