and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Pamoja na zile harakati zote mitandaoni?Kura 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na zile harakati zote mitandaoni?Kura 2
Wajumbe hawapendi ujuaji mwingi wala dharau😁😁😁Kumbee!
Nilishangaa kuona maandalizi ya wapiga debe 'eti master'
Wengi wanampenda kwa uandishi wake wa kurusha vijembe na maphotooo kedekede na hubby eti ni kioo cha waingiao kwa ndoa....huwa nacheka basi tu
Wajumbe hawapendi ujuaji mwingi wala dharau😁😁😁
Mwenye nguvu na mamlaka ni mmoja tuu nae ni Mungu. Sasa pale unapokuta mtia nia ana nia zake mbaya halafu anatumia Kibuyu, Quran na bible kwa maslahi binafsi ndio Mungu anaingilia kati kwa style yoyoteHalafu wamedhatiti, hadi kibuyu cha uchawi kinaanguka mbele yao.. ndio ujue wajumbe wako gado 🤣🤣🤣
Mkuu unaweza nilengesha kwenye uzi wenye matokeo ya kura za viti maalum huko kanda ziwa kuna mtu nataka nione kapatajeKapata kura mbili huyo Flora ndo wa mwisho
Hayo matokeo ya viti maalumu hayajapostiwa Sana huku mitandao Mambo yameenda kimya kimya tu sijui kwaniniMkuu unaweza nilengesha kwenye uzi wenye matokeo ya kura za viti maalum huko kanda ziwa kuna mtu nataka nione kapataje
ooh ok kweli lknHayo matokeo ya viti maalumu hayajapostiwa Sana huku mitandao Mambo yameenda kimya kimya tu sijui kwanini
Huyo sijafahamu maana ka hiyo sehemu aligombea na mbunge aliyestaafu it's obvious kapigwa chini wabunge waliomaliza mda wote wameshinda kura za maoni maana walikuwa na hela za kuhongaooh ok kweli lkn
Kuna somebody Mashishanga baba ake alikuaga mwanasiasa pia sema sasa kashastaafu unajua kapataje?
Kitambo tuHivi Joyce kiria yeye hajapewa dawa huko kwny kura za maoni?
Kura za NDIO?ooh ok kweli lkn
Kuna huyu Rachel Mashishanga baba ake alikuaga mwanasiasa pia sema sasa kashastaafu unajua kapataje?
Si zile za wajumbe?! Au hizo ndi zinaitwa kura za ndio?!Kura za NDIO?
SufuriSi zile za wajumbe?! Au hizo ndi zinaitwa kura za ndio?!
Kumbee!
Nilishangaa kuona maandalizi ya wapiga debe 'eti master'
Wengi wanampenda kwa uandishi wake wa kurusha vijembe na maphotooo kedekede na hubby eti ni kioo cha waingiao kwa ndoa....huwa nacheka basi tu
OkayHahaaa ngoja nifatilie Juliana shonza, Rose tweve, Halima yahya, Mary mwanjela, Lucy mayenga wameshinda viti maalumu