Kama Zamaradi watu walivyokuwa wanampamba,! Zamaradi nae kumbe mpaka kuandaa kutana na star wako kumbe lengo Ni ubungeTatizo kule instagram kunadanganya sana, unapata ma konfidensi unajiona wewe ndio wewe, kumbe 'wajumbe' sio watu wazuri kabisaa..lol