Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Duuu pole sana Mbuta and get well soon!
Toka mwanzo nilihisi huyu dada hayuko sawa kichwani na nilishapendekeza akamatwe kwa nguvu na kupelekwa hospitali.
Thanx God sasa anakwenda hospitali na atapata msaada na atapona.
Mrembo by Nature asante kwa taarifa kwa kweli huyu dada nahisi hii brain cancer ni wazi haukuanza leo!
Kuna wasanii wengi wanaweza kuwa na ugonjwa Kama huu ni swala la muda tuu!
Get well soon Mbuta!
Toka mwanzo nilihisi huyu dada hayuko sawa kichwani na nilishapendekeza akamatwe kwa nguvu na kupelekwa hospitali.
Thanx God sasa anakwenda hospitali na atapata msaada na atapona.
Mrembo by Nature asante kwa taarifa kwa kweli huyu dada nahisi hii brain cancer ni wazi haukuanza leo!
Kuna wasanii wengi wanaweza kuwa na ugonjwa Kama huu ni swala la muda tuu!
Get well soon Mbuta!
Last edited by a moderator: