Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
- Thread starter
- #41
Pole zake nahisi viatu virefu vilimuangusha huyu
Amekuwa mdogo hadi nimemuhurumia. Binadam anafanya yote ila linalokuja swala la afya pozi love linaisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole zake nahisi viatu virefu vilimuangusha huyu
Mungu ni mwema atapona!Amekuwa mdogo hadi nimemuhurumia. Binadam anafanya yote ila linalokuja swala la afya pozi love linaisha
Hakika! Mungu atamlinda na kumponya.Kila mtu Anakosea tumuombee aepushiwe na balaa Hilo
Majibu yametoka....
Alikua ana mambo gani naomba nifahamishwe kama ya yule mwengine flora mbasha au
DUNIA ina mambo.....kwanza hizo story za sijuikuumwa cancer sio za kweli aliumwa tu kawaida...kuna kitu anatafuta sio siri!
Hana lolote anatafuta kiki tu!
Mbuta nanga ndo huyu
Yaani ni mdada aliyebahatika kwenda UINGEREZA na mbabu wa KIZUNGU ...KUFIKA KULE MZUNGU AKAMUONA MIYEYUSHOWatu wengine ni maarufu hapa jamii forum tu mi hata simjui anajihusisha na nini
Yaani ni mdada aliyebahatika kwenda UINGEREZA na mbabu wa KIZUNGU ...KUFIKA KULE MZUNGU AKAMUONA MIYEYUSHO
lakini alikwisha mkatia na uraia kabisa .,......sasa kama unavyojua shost maisha ya kule kama huna dili la kueleweka ni majanga....sasa afanye nini ni kupiga picha kwenye maduka ya watu akidai yake na anauza bidhaa mbalimbali....sasa unaweza shangaa ni kwa nini anajadiliwa sana hapa ni ile hatua yake ya kujitoa ufahamu wa eti kupiga mipicha ya mavyupi makubwa kama ya wacheza mieleka huki akiwa ameivaa na akiwa kama alivyozaliwa na kuitundika kwenye blog yake ..sasa kwa mtoto wa kike hasa Mtanzania tukaona tumshauri kitu...sasa si ndo ikaja tena drama eti ana cancer ya UBONGO sasa sijaelewa mara bado majibu....ivi ni dalili gani zilizompelekea Docta aseme huenda ana cancer ya ubongo kama si kutafuta kiki tu hapa.....Ebu atuache tumeshajua nia yake na tunaendelea na yetu kama ushauri hajaupata mana mada nyingi zinazohusu kumshauri tayari zipo hata akufungua blog ni lazima anakutana nayo.......UNA SWALI JINGINE?
nimejisikia vibaya sana kwa habari hii mbaya tena inayomhusu the sexiest Tanzanian woman in diaspora...ugua pole mrembo mbutananga