viongozi wa kondoo kwa sifa zipi?jamani tusimchezee mungu kwa vyeo vya kishetani.halafu kizazi hiki ni rahis sana kushawishika na dini hizi zimeazo kama uyoga.kila penye mavi huota uyoga.
sio kweli na haitakua kweli!none of the said and already very much speculated was true!...ni vita ya siasa,ila wanawatumia kina mbasha wana watu ambao sio competent kuikweli!wanaacha alama nyingi za shaka na ni kama wanajisaidia hadharani wakiwa wamefumba macho!