Flora Mbasha afunguka, ni hatari sana

Flora Mbasha afunguka, ni hatari sana

hii taarifa ni ya kutunga....huwezi kuamini taarifa kama hii....kuna mahali anasema kuna mambo ya ndani siwezi kuyasema hapa kwa sababu ninamuheshimu na pia ni mzazi mwenzagu.....kisha anasema huyu mwanaume alikuwa anataka na kunilazimisha nifanye nae mapenzi kinyume na maumbile....
Exactly sijaona lipi linamshinda kusema lenye aibu ikiwa keshafika kusema kama mume alitaka tigo. Ili kuondoa doubt angeziweka hizo msg watu wakaona. Hii ni cooked up story.
 
Ha ha ha aisee! Utoto ulioje huu! Huyu mama time si nyingi atasema alikuwa anapigwa round ngapi na anapigwaje ha ha ha.
 
Baadhi ya wanaume ambao wake zao wamewazidi kipato huwa ni wakorofi na wakatili wakidhani hilo ndilo litampa heshima ndani ya nyumba .Pole dada kama ni kweli haya uliyoandika ila muombe msamaha mungu kwa yale uliyomkosea na simama kidete uwalee wanao wasijeishi kama yatima ilhal wazazi mpo.
 
Madhali bado mungu anatupatia pumzi tutasikia na kuona mengi.
 
Baadhi ya wanaume ambao wake zao wamewazidi kipato huwa ni wakorofi na wakatili wakidhani hilo ndilo litampa heshima ndani ya nyumba .Pole dada kama ni kweli haya uliyoandika ila muombe msamaha mungu kwa yale uliyomkosea na simama kidete uwalee wanao wasijeishi kama yatima ilhal wazazi mpo.

Ni sheeeeeeeder namuelewa Florah! Ukizidi kipato tu ooooh mwanaume anachachamaa kama wale karunguyeye wadudu wa miiba miiba kule Moshi!
 
Hii mbona ni ya zamani kabla hajajifungua. Ilianza kusambazwa kipindi kile cha kesi ya Mbasha

Kumbe Frola ana mtoto mwingine aiseee mi sijui niko Tanzania ipi??........BTW Mungu ndiyo anajua mkweli nani....
 
Pole sana frola, wanawake wanakumbwa na unyanyasaji wa kila aina, wanajitahidi kuficha siri ili kulinda heshima tu. songa mbele day haki yako kwani huyo sio mume sahihi kwako,
 
huyu mama muongo,anatunga story nyiingi ili aonekane kaonewa,though sikatai kwamba kuna matatizo ya hapa na pale kwenye ndoa.
hivi siku zote hizo alishindwa kwenda hata ukweni kwa akina mbasha akalalamike,au kwa mawifi,mashangazi,mashemeji ?,yaani MTU unafanyiwa unyama miaka yote hiyo umetulia tu na kesho mnapanda kwenye stage mnaimba wote.!
what about ile issue ya mbasha kumbaka mdogo wake yeye flora,it means it was cooked story ili apate njia ya kuondoka kwa mbasha?
tutamuamini vipi kwamba alikuwa hachepuki nje na wachungaji ndio maana jamaa alikuwa akimdunda?
Leo anasema jamaa alikuwa anataka Tigo,alishindwa nini kuondoka mapema Kama that's the issue iliyo muondoa na mengine.
cha ajabu eti Hana account nyingine alafu eti hata Mia tank ya vocha alikuwa akimuomba mbasha..yeye aseme hivi walikuwa wanamiliki account pamoja na kuna mmoja wao alikuwa na power of attorney .
hivi kweli flora alishindwa kufungua hata m powa,au bank ya post .kias kwamba pesa zake zoote azimiliki mbasha,kwa dunia ya Leo kweli kitu Kama hicho chawezeka jamani.
Hili Jike ongo ! ina maana siye mapanga hatuyajui?upigwe mapanga utakuja kurusha mdomo huku au jamhuri ndio itakusemea kwa niaba yako?Eti pesa zake anachukua mumewe!nani kamkabidhi?Eti kuna mambo hawezi yasema kwa kigezo cha maadili ,chini ya "utunzi"wake kabandika kuwa anadaiwa "tigo" na aliyekuwa mumewe kuna maneno machafu zaidi ya hayo kwa wanandoa?Na mwanamke apate kipigo watu wasisikie ?labda jumba lao liwe kama ikulu ya marekani-kubwa na hakuna kusogelea asiyehusika!
 
Back
Top Bottom