Flora Mbasha afunguka, ni hatari sana

Flora Mbasha afunguka, ni hatari sana

Hii ndoa haikuwa na matatizo kiasi hiki,huyu mama muongo amepitiwa tu na pepo la ajabu,amesubiri kajifungua ndio kaanza kusema haya ili kutoa aibu,kwanin na mbasha nae asizae katoto?,Muogopeni Mungu wenu nyie,Mungu sio binamu yenuuu ohooooo!!!
 
huyu mama muongo,anatunga story nyiingi ili aonekane kaonewa,though sikatai kwamba kuna matatizo ya hapa na pale kwenye ndoa.
hivi siku zote hizo alishindwa kwenda hata ukweni kwa akina mbasha akalalamike,au kwa mawifi,mashangazi,mashemeji ?,yaani MTU unafanyiwa unyama miaka yote hiyo umetulia tu na kesho mnapanda kwenye stage mnaimba wote.!
what about ile issue ya mbasha kumbaka mdogo wake yeye flora,it means it was cooked story ili apate njia ya kuondoka kwa mbasha?
tutamuamini vipi kwamba alikuwa hachepuki nje na wachungaji ndio maana jamaa alikuwa akimdunda?
Leo anasema jamaa alikuwa anataka Tigo,alishindwa nini kuondoka mapema Kama that's the issue iliyo muondoa na mengine.
cha ajabu eti Hana account nyingine alafu eti hata Mia tank ya vocha alikuwa akimuomba mbasha..yeye aseme hivi walikuwa wanamiliki account pamoja na kuna mmoja wao alikuwa na power of attorney .
hivi kweli flora alishindwa kufungua hata m powa,au bank ya post .kias kwamba pesa zake zoote azimiliki mbasha,kwa dunia ya Leo kweli kitu Kama hicho chawezeka jamani.

wewe ndio mbasha mwenyewe? unavyomtetea mpaka povu linakutoka.
 
Mbona hajasema ka alikubali kuliwa tigo,si uliombwa bibie????,unazidi kuchefua watu kwa kumpakazia mmeo maneno uonekane malaika...mtoto wa nani kwanza?
 
Ule mkutano wenu wa Beijing mbona hamjawahi kurudia tena? Mi nikikuoa maaanina lazima utii sheria zangu, ukileta ujuaji nakudunda tu!

Kama una akili sawa nitatii! Kama ni poyoyo nitakuacha upigane na ukuta! Period!
 
Hajatunga yule Mbasha ni marioooo

Hawa marioooo wana taabu sana, halafu wao ndio waanzilishi wa mambo ya dhuluma ili wawe huru. Hii ndoa kuna sehemu ilikuwa na mushkeli. Mbasha anafanya kazi gani? .elimu ?. Nduguze ni akina nani + marafiki. Kama VP amuige Ezden maisha yaendelee. Pesa inatafutwa nyumba achia watoto.
 
Sidhani kama katunga namjua fro alimpenda sana yule bwana shaulienu mnaotaka mahb ngojenu muombwe mferejini huhuhu
 
hii taarifa ni ya kutunga....huwezi kuamini taarifa kama hii....kuna mahali anasema kuna mambo ya ndani siwezi kuyasema hapa kwa sababu ninamuheshimu na pia ni mzazi mwenzagu.....kisha anasema huyu mwanaume alikuwa anataka na kunilazimisha nifanye nae mapenzi kinyume na maumbile....

Ukisoma btn the line utagundua anamaanisha jamaa ni gay siku nyingi so alimtunzia heshima
 
Mwanamke akipenda anapenda kweli ila akichoka inakua basiiiii. uliipigania ndoa yako kweli ukidhani unalinda heshma lakini naona imefika mwisho
Hongera sana na pole nyingi #florambasha kwa uvumilivu....ila nakupa hongera zaidi kwa kuchukua maamuzi sahihi japo umechelewa kidogo
Kama ulichepuka kweli ukweli wote unaujua wewe na mungu wako nisiwe mwepesi kukuhukumu
 
Naamini flora alichokisema pole flora, ila hii Tania ya wanawake kupenda kufia ndoa ili wasifiwe ni wavumilivu naona kama nikupungukiwa na maarifa, ila hongera sana kwakufanya maamuzi magumu na yenye ushujaa Mungu akusaidie hatimae uje uinuke tena mama.
 
Back
Top Bottom