First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,312
- 1,475
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Inili, Flora Mbasha, amekimbilia mahakama ya hakimu mkazi kisutu, akiomba kuvunja ndoa kati yake na mumewe, Emmanuel Mbasha. Flora anadai sababu za kuomba kuvunja ndoa hiyo apewe talaka ni kutokana na tabia ya mumewe kumpiga, kumnyanyasa na kushindwa kumpatia matibabu.
Una lipi la kuwaambia wanandoa hawa?
Hawana jipya,waendezao huko. Sasa mahakama si dhani kama inavunja ndoa. Bali hutenganisha wanandoa pale panapojitokeza hali ya hatari kati yao. Ndoa ya kikristo haivunjwi isipokuwa kifo pekeee!!!!
halafu kuna wakati haka kadada kakawa kanafikiria kuingia kwenye siasa eti kagombee ubunge kupitia ccm... ila kwa ccm ni chaguo muafaka kwake akaungane na akina Ghasia maana wote wanaghasia kweli kweli
Zipo taratibu ukizifuata Mahakama wanaiuvunja NDOA hata km niyakidini lkn Inafuata Sheria za NCH
halafu kuna wakati haka kadada kakawa kanafikiria kuingia kwenye siasa eti kagombee ubunge kupitia ccm... ila kwa ccm ni chaguo muafaka kwake akaungane na akina Ghasia maana wote wanaghasia kweli kweli
Te te te na hiyo ni dalili kwamba kana tamaa...ameona za kwaya hazitoshi ajisogeze kwa wazee wa mjengoni...na ana kila sifa as long as viti maalumu havitafutwa...
Huyo hajui kuwa hakuna cheti cha ndoa cha dini...vyote ni vya serikali...
Mahakama inavunja tu...hayo maagano mengine ni ya wanandoa na Mungu....watakuwa na kesi nyingine siku ya hukumu mbinguni...
Tena una ugonjwa wa kufisha na ni mdanganyifu kuliko vitu vyoteMoyo wa mwanadamu ni KIZA kinene. Ni Mungu pekee awezaye kuuchunguza moyo na nia zake.
Kwani hiyo ndio ilifungwa mahakamani? Akimbilie kwa Mungu amuombe kama ataivunja coz alifunga yeye ...
Hawawezi kuelewa .......mtu anahubiri alafu mwisho anasema nani ambaye "HAJAOKOKA" anataka "KUOKOKA" .......baada ya hapo anaambiwa sema maneno yafuatayo .........mtu akishasema maneno hayo anaambiwa "AMEOKOKA" .........What a joke? .........kuna wokovu kabla ya kubatizwa? Kimsingi hapo mtu ameamini kama hatua ya kwanza kuelekea kwenye wokovu.....then anabatizwa kama hatua nyingine kuelekea kwenye wokovu ........baada ya hapo anapaswa kuishi maisha ya kumpendeza Mungu hata mwisho ili AOKOKE .......huwezi kutumia neno zito kuwa UMEOKOKA alafu kesho unaanguka dhambini .....ukianguka unaokoka tena baada ya kutubu?
Unasikia mhubiri anasema waliookoka tu ndio wataenda mbinguni ........anasahau kuwaambia ukweli kuwa watakaoishi maisha ya kumpendeza Mungu hata mwisho ndio Watakaokoka .........Wokovu ni ushindi wa mwisho wa Mkristu baada ya kushinda dhambi maisha yake yote hapa duniani ..........