First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,312
- 1,475
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Inili, Flora Mbasha, amekimbilia mahakama ya hakimu mkazi kisutu, akiomba kuvunja ndoa kati yake na mumewe, Emmanuel Mbasha. Flora anadai sababu za kuomba kuvunja ndoa hiyo apewe talaka ni kutokana na tabia ya mumewe kumpiga, kumnyanyasa na kushindwa kumpatia matibabu.
Una lipi la kuwaambia wanandoa hawa?
vipi mimba ya Gwajima inaendeleaje? kijusi kinaendelea kukua? ukute anataka kuvunja ndoa ili ahalalishe uchepukaji wake na huyo pastor wake.
