Flora Mbasha: Emmanuel hakuwa chaguo langu

basi jamaa naye hajatulia,kuwa mario bila hela ni kuumbuka
 
Watu wengine bwana...hivi Flora kinachomzuzua ni nini? Sura mbovu shepu hovyo..... Ningekuwa ndo mimi na sura yangu mbovu hii nipate mwanaume kama Emmanuel yan ningekuwa mpole kama nanyolewa

Pesa ilimsaliti hata bwana yesu
 
Mzee Kulola aliipinga sana hiyo ndoa!! Alisema Flora bado mdogo, na huyo kijana hajatulia... Wapambe kama kawaida wakaleta maneno eti wanamnyima sababu dreva taxi maskini!! Kumbe mzee alioba mbali

Yawezekana wewe unajua zaidi ya wengi tujuavyo.Amani kwao
 
Ndiyo sababu tunasema mwanaume tafuta hela zako, mambo ya kulelewa na mwanamke ni uhanisi!
Unakosa maamuzi, unadhalilika!
Sasa alijiona handsome na vibinti vilikua vinamshobokea vile anatunzwa na Flora, aende sasa kwa michepuko huku mifuko imetoboka aone kama hajatemewa mate!
Flora delete kabisa takataka hiyo ijifunze in a hardway! Mwanaume gani wa kum embarrass mkewe kwenye vyombo vya habari!
Nadhani sasa unaelewa maneno ya babu yako! Hata wewe hili limekuwa funzo kubwa kwako!
Uzuri wa mwamaume si sura ni TABIA!
 

Na hata yeye Flora Mbasha hakua chaguo la Emmanuel Mbasha baada ya kusalitiwaa kwenye ndoa!!
 

Sijaona hata akitoa andiko takatifu kuwashauri watu wa kwenye ndoa kutoka hapa zaidi ya kuwashauri wanawake wenzake waptapo misukosuko wasonge mbele na kukimbia familia.
Si dhani kama kweli ni andiko la Flora Mbasha
 
Mmmmmh I can see your point. Hata kama mumewe ana tatizo huu si wakati wa kutengana na kudhalilishana kwani akikaa kimya kuna shida gani.
 
Huyu dada nilimuheshimu sana na kupenda nyimbo zake, Sasa nikisikia nyimbo zake nakereka tu
 

Basi kumbe ni kweli anamegwa na mch Gwajima.
 
Watu wengine bwana...hivi Flora kinachomzuzua ni nini? Sura mbovu shepu hovyo..... Ningekuwa ndo mimi na sura yangu mbovu hii nipate mwanaume kama Emmanuel yan ningekuwa mpole kama nanyolewa


khantwe usuombe ukutane na mwanaume handsome kwa nje utajuta
kauli kama idd amini
mgegendo afadhali jogoo, tena anapiga ngwala anamaliza
hatunzi watoto utaona bora Remmy ongala angefufuka umpate
 
khantwe usuombe ukutane na mwanaume handsome kwa nje utajuta
kauli kama idd amini
mgegendo afadhali jogoo, tena anapiga ngwala anamaliza
hatunzi watoto utaona bora Remmy ongala angefufuka umpate

Hahahaa nitavumilia bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…