Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
Sijaona hata akitoa andiko takatifu kuwashauri watu wa kwenye ndoa kutoka hapa zaidi ya kuwashauri wanawake wenzake waptapo misukosuko wasonge mbele na kukimbia familia.
Si dhani kama kweli ni andiko la Flora Mbasha
Flora Mbasha hawezi kumshauri mwanamke chochote zaidi ya kumwambia amkimbie mume, iko kwenye damu yake, hat mamake kamkimbia baba yake....amerithi