Flora Mbasha kufunga ndoa wiki ijayo

Flora Mbasha kufunga ndoa wiki ijayo

Nyinyi mtaongea sana na mtajaji sana flora vibaya lakini ukweli yeye na mumewe ndo wanaoujua
 
mbasha naye ubishoo amezidi khaah!!..halafu ni kama huwa anajipodoa usoni

Flora funga ndoa mwaya maisha yenyewe yako wapi kujipa stress na bishoo (mume kama boyfriend inahusu!)
utakua unadanga
 
wimbo mmoja zilipendwa baadhi ya maneno yake "katika hali yoyote kaeni kwa amani nawausia mpaka kifo kiwatenganishe".. mwenye nao ama hata kujua unaitwaje au umeimbwa na nani anisaidie please
 
Baadhi ya ndoa za Kikisto ni za kinafiki sana, wanandoa wakiwa kwenye Watu wanajidai kuwa pamoja wengine hata kushikana mikono , Kumbe wanapo rudi nyumbani kila Mtu analala chumba chake mwenyewe! Sasa yote ya nini hayo? Wengine vipigo hata kutishiana maisha halafu eti wengine wanataka kusema nini vile! Yataka moyo kuishi na Mume asiye afanya kazi (lofa) yani ni mtihani mkubwa, halafu kuna Yule ambae unajua leo hana kazi Ila matarajio yapo kwamba anavyo vyeti vya kueleweka kuweza kuajiriwa baada ya muda flani hata Kwa miaka miwili mitatu, lakini unakuta Tumaini la hivyo halipo halafu mwisho wa Siku shukrani za Punda ziwe mateke?! Utuhumiwe uzinifu ?! Mmn mbombongafu
 
Watu wenye k zao wanaringa,,, haya frola ipeleke kwa huyo daud si yako bwana
 
Back
Top Bottom