Flora Mbasha kufunga ndoa wiki ijayo

Flora Mbasha kufunga ndoa wiki ijayo

Huo ni uhuni tu wa kawaida wa Flora Mbasha na hawara yake, hakuna ndoa za namna hiyo katika Dini ya Kikristo.
Halafu bado anadai ni mwimbaji za Injili, injili gani hiyo inayosindikizwa na Umalaya?

Aende akaimbe bongo flavour, kule ndio kunakomfaa kwa sasa.
 
Kaamua tamuu iende kwa mtu ingine ili hali Mbasha yupo kwa kurasimisha.Mungu anamuna Jamani
 
Sishangai sana frola kufanya hilo haya in matokeo ya makanisa ya sasa wao kuvunja ndoa ni jambo LA kawaida kwao.wao wanahubiri injili ya mafanikio tu .mambo ya ndoa si shida.utafiti unaonyesha haya makanisa mapya yamevunja ndoa nyingi sana
 
Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini, Madame Flora (Flora Mbasha zamani), Jumapili ya wiki ijayo anatarajia kufunga ndoa na mume wake mtarajiwa Daudi Kusekwa katika bustani za hoteli ya Rock Beach jijini Mwanza.

Madame Flora ameliambia Swaggaz kuwa ndoa hiyo itaambatana na uzinduzi wa albamu yake mpya inayoitwa Wakati Wake pamoja na kitabu alichokipachika jina la Siri za Flora Mbasha.

“Ndoa itafungwa asubuhi na jioni kutakuwa na sherehe ya harusi, utambulisho wa albamu yangu mpya pamoja na kitabu, watu wote wanakaribishwa kadi zimebaki chache tu kutokana na idadi ya ambayo imepangwa na kamati,” alisema Flora.

Chanzo. Mtanzania

Haya nunueni album ya mtumishi
atasema tena kwa Daudi " hadi kifo kitutenganishe"
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
bado anaimba gospel tu?, shame on her!!
maandiko yalishasema kuwa kama ninyi (watakatifu) hamtaki kuniimbia Mungu anaweza kuyainua mawe (watenda maovu) haya kuniimbia . kwa hiyo usihofu mkuu anatimiza maandiko.
 
maandiko yalishasema kuwa kama ninyi (watakatifu) hamtaki kuniimbia Mungu anaweza kuyainua mawe (watenda maovu) haya kuniimbia . kwa hiyo usihofu mkuu anatimiza maandiko.
teh teh mbona waimbaji wako wengi tu [emoji28]
huyu uhuni wake mwenyewe tu ndio wamtuma
 
Back
Top Bottom