Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Huo ni uhuni tu wa kawaida wa Flora Mbasha na hawara yake, hakuna ndoa za namna hiyo katika Dini ya Kikristo.
Halafu bado anadai ni mwimbaji za Injili, injili gani hiyo inayosindikizwa na Umalaya?
Aende akaimbe bongo flavour, kule ndio kunakomfaa kwa sasa.
Halafu bado anadai ni mwimbaji za Injili, injili gani hiyo inayosindikizwa na Umalaya?
Aende akaimbe bongo flavour, kule ndio kunakomfaa kwa sasa.