Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
...Ngoja tuone kama viongozi wa dini watakiruka hicho kiunzi.Kibiblia huyo Daudi, haitajiwi kumwoa flora, mpaka mbasha Mungu amchukue!!
kifizikia tunafanya assumption kuwa mbasha kafa then ndoa inafungwa tu mkuu
Je Ilikuwa proved mumewe Alikuwa mzinzi? Je kwa mkristo si kuna msamaha?Hebu someni maandiko vizuri najua alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe isipokua kifo au uzinzi so ukithibitisha mwezako anachepuka talaka tu ingawa Mungu haipendi kwakua hapendi kuachana.
....huku kimoyomoyo ukimwambia utasubiri saaana bi mkubwa!;Aisee Maisha ya ndoa magumu sana juzi kati mama kaniambia nimekua nioe nikamwambia anipe miaka mitano mingine.
Kifo tena!?[emoji15]Mwache aolewe, hana mume, maana kifo kilishawatenga, kwa hiyo yuko huru.
Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini, Madame Flora (Flora Mbasha zamani), Jumapili ya wiki ijayo anatarajia kufunga ndoa na mume wake mtarajiwa Daudi Kusekwa katika bustani za hoteli ya Rock Beach jijini Mwanza.
Madame Flora ameliambia Swaggaz kuwa ndoa hiyo itaambatana na uzinduzi wa albamu yake mpya inayoitwa Wakati Wake pamoja na kitabu alichokipachika jina la Siri za Flora Mbasha.
“Ndoa itafungwa asubuhi na jioni kutakuwa na sherehe ya harusi, utambulisho wa albamu yangu mpya pamoja na kitabu, watu wote wanakaribishwa kadi zimebaki chache tu kutokana na idadi ya ambayo imepangwa na kamati,” alisema Flora.
Chanzo. Mtanzania
Miss u[emoji17]Nikajua ameacha kuimba.
Je Ilikuwa proved mumewe Alikuwa mzinzi? Je kwa mkristo si kuna msamaha?
i don think so[emoji53]Miss u[emoji17]
maandiko yalishasema kuwa kama ninyi (watakatifu) hamtaki kuniimbia Mungu anaweza kuyainua mawe (watenda maovu) haya kuniimbia . kwa hiyo usihofu mkuu anatimiza maandiko.bado anaimba gospel tu?, shame on her!!
teh teh mbona waimbaji wako wengi tu [emoji28]maandiko yalishasema kuwa kama ninyi (watakatifu) hamtaki kuniimbia Mungu anaweza kuyainua mawe (watenda maovu) haya kuniimbia . kwa hiyo usihofu mkuu anatimiza maandiko.