Flora Mbasha kufunga ndoa wiki ijayo

Flora Mbasha kufunga ndoa wiki ijayo

lakini inasisitiza pia ukioa tena au kuolewa tena una zini, [emoji28]

yaan bible ni very technical, akizini waweza mwacha lakini uhakikishe huoi au huolewei tena [emoji28]
Sura ya ngapi na mstari Wa ngapi panathema hivyo?!
 
Umalaya tu uo hakunaga ndoa za kkrsto Mara 2 kabla mwenza wako wa awal akiwa hai, flora akumbuke kitu, apa dunian tunapita tu, malpo n apa apa dunian
 
sikumbuki kitabu,lkn uko sahihi,amwoaye alieachwa nae anazini.
....isipokuwa kwa habari ya uazherati
Yaani ukimkuta mkeo anazini na ukamuacha kuachanaa huko ni sahihi
It means unaweza ukaoa mwengine
But km mtaachana tu bila kuwepo dhambi ya uasherati hapo ndio atakaekuoa anazini pia
So sababu ya ndoa kanisani kuvunjika ni moja tu (UASHERATI)
Baaaaasssiii
 
Utumishi wa BWANA ,Mungu wetu.
Utukufu ni kwa Mungu, umaarufu ni kwa binadamu.
Sijui mjomba wa Frola atahudhuria??
 
Ngoja aolewe iliyule muuza sura wake wa awali apate uchungu wa Kutafuta pesa maana alikuwa anasafiria nyota ,mtoto wa kiume anajiremba kama flora bwana
 
Mungu huwa hakawii wala hachelewi ni suala la muda tu wale ambao tutajaliwa,huku ni kimjaribu mungu
kwa hiyo hapo kawahi ama kachelewa maana maandiko yanasema watatenganishwa na kifo, cha ajabu wametengana na wote wako hai au kuna mmoja ni mfu kiakili na kiroho ndo maana mwingine kaamua kuolewa. wana matatizo hawa watumishi wa mungu wala siyo sisi mashuhuda mkuu
 
Je atahubiri bado? Nani Je ujumbe wake bado itakuwa masurura Maana?
 
Aisee Maisha ya ndoa magumu sana juzi kati mama kaniambia nimekua nioe nikamwambia anipe miaka mitano mingine.
Mimi wazazi pia huwa wananikumbusha hilo ila huwa siwajibu chochote lakini sababu ni kwamba Sioni aina ya wanawake wafaao kuolewa.
 
mbasha naye ubishoo amezidi khaah!!..halafu ni kama huwa anajipodoa usoni

Flora funga ndoa mwaya maisha yenyewe yako wapi kujipa stress na bishoo (mume kama boyfriend inahusu!)
Wewe unamfahamu Mbasha vizuri?
 
Naye anaandika Historia ya kuvaa shela mara mbili, huku mume wa kwanza akiwa hai, Historia hii pia iliwahi kuandikwa na Joyce Kiria alipofunga ndoa mara ya pili na Kilewo.
Hommie, Hao wote kibiblia wanaitwa Wanawake Wazinzi.

Halafu wamefanana kwa Roho Mbaya, yaani Joyce Kiria na Flora Mbasha
 
Back
Top Bottom