Naunga mkono hojambasha naye mawasiliano ya nini! yule mtoto ni binti mkubwa kabisa wangempa utaratibu tu kwamba siku fulani awe anaenda kuspend time na baba.
mawasiliano yanaweza kusababisha upashaji wa kiporo!
Duhh.....[emoji47] [emoji47]Sema wanawake mnakutana na mengi sana vyumbani mara huyu kibamia huyu hanithi, huyu mguu wa mtoto huyu mfiraji daah
Toba.....[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Wewe ushaona wapi mwanaume ana machisha kuanzia kofia, Shari, suruali, mpaka kiatu?
Wanaume wanatambulika tu. Kule kujiremba ni jaribio la kupata kila kilichopungua
Sent using Jamii Forums mobile app
HIVI HAKUMFUMUA MARINDA KWELI?
Duhh.....[emoji47] [emoji47]
Huo mkono unao bonyezea maneno taka, ndio unao utumia kupekea fudi kinywani...[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Wakihojiwa hivi punde na Soud Brown wa YOU HEARD ya Clouds FM, Flora amesema kamwachia Mbasha kila kitu kuanzia nyumba, magari na pesa benki ktk akaunti zote. Kibaya anadai jamaa hamkumbuki mtoto. Emmanuel kwa upande wake kakataa akidai Flora hataki mawasiliano hivyo ni vigumu kufuatilia habari za mtoto. Ikumbukwe Flora yupo kwenye ndoa nyingine sasa.
Ohhpppsssss.......[emoji45] [emoji45] [emoji45]Hapana hili kono la kushoto si unajua kazi yake?
Kwani si ndio mchezo wenu watoto wa mjini....sasaivi hakuna cha mtu wa pwani wala wa bara wote mulemule ushenzi m2puHuyu mbasha mpuuzi kweli kapewa vyote hivyo na bado alikuwa anataka kumuingilia flora kinyume na maumbile
Kuna vitu hata uwe commited vipi aisee havivumiliki.Divorce,watoto wanakuwa victims.Mimi nahate divorce kabisa,na ni uselfish wa kipumbavu.
EheeeHuyu mbasha mpuuzi kweli kapewa vyote hivyo na bado alikuwa anataka kumuingilia flora kinyume na maumbile