Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Wakihojiwa hivi punde na Soud Brown wa YOU HEARD ya Clouds FM, Flora amesema kamwachia Mbasha kila kitu kuanzia nyumba, magari na pesa benki ktk akaunti zote. Kibaya anadai jamaa hamkumbuki mtoto. Emmanuel kwa upande wake kakataa akidai Flora hataki mawasiliano hivyo ni vigumu kufuatilia habari za mtoto. Ikumbukwe Flora yupo kwenye ndoa nyingine sasa.