Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dishi linaonekana limeyumba upande nadhani baada ya upepo mkali sanaIla huyu mama ni kama vile hazijajipanga vizuri kichwani
Tupo wawili!Hata mimi
Nimejitahidi sana kusoma mada yenyewe pamoja na michango ya Wadau.
Hapa kama sio mtu wa Instagram basi tumeingia mkenge.
Ila ngoja naona hapa kuna zungumzwa watu wawili wametapeliana kwenye mapenzi.
Kuna mwanamama hapa katapeliwa na Mwanababa mmoja wa hapa mjini.
Hahaha...mchumba wake anamwaga pesa kama njugu Malya anatafuta udiwani.Huhuhuhuh ndoa tamuuuh jomoneeeeh lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah looHahaha...mchumba wake anamwaga pesa kama njugu Malya anatafuta udiwani.