Flora Mbutananga spates na mkasa wa kuibiwa Christmas 2019 kisa ahadi ya engagement

Flora Mbutananga spates na mkasa wa kuibiwa Christmas 2019 kisa ahadi ya engagement

Huyo dada yangu sura yake lazima ahonge kupata huduma ya kutolewa genye
Kwa picha hii ina maana MC Pilipili alikuwa akinyanduana na huyu mwanamama aisee? Mbutananga unakosea wapi dada yangu?

Kuna kipindi ulisema Mh. Godbless Lema alikubaka sidhani aisee why yuko so cheap hivi? Ina maana na kukaa koote huko Europa na exposure bado tuu unadhubutu kutunduana na NIVA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
 
Wadada wa ulaya wanapenda sana kuja kuoa viben10 bongo
 
Daah!! Nimemuonea huruma maskini na kukaa kote ulaya anakuja kuibiwa kizembe namna na bongo movie, wanawake wenzie wamemuingiza mjini mwenzao kwa kweli hii ndo bongo Dar es salaam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mhenga mwenzangu sijui shida ni nini

Halafu Mshana Jr si huyuhuyu aliwahi kusema alitaka kubakwa sijui alibakwa na GodblessLema huyu
Si hata hii kafungua ya kubakwa na kuibiwa sa sjui haelewi neno kubaka? Afu ni kama hana akili nzuri ktk maelezo yake
 
Kwa picha hii ina maana MC Pilipili alikuwa akinyanduana na huyu mwanamama aisee? Mbutananga unakosea wapi dada yangu?

Kuna kipindi ulisema Mh. Godbless Lema alikubaka sidhani aisee why yuko so cheap hivi? Ina maana na kukaa koote huko Europa na exposure bado tuu unadhubutu kutunduana na NIVA?
Kwani niva hana kikatio cha nyama?
 
Mbuta nanga ni muolewaji mstaafu yeye atulie tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nimepata jibu sasa lakini kwa ujambazi hapana labda kibaka MAARUFU
Niva kabla hajaingia kwwnye sanaa alikua ni jambazi maarufu na kuna clip ana kiri ni kwel alikua jambazi ila ameacha ,ila navyojua amejificha kwenye kivuli cha bongo movie

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom