Joseph mbelwa
Member
- Aug 6, 2014
- 8
- 2
Anatuzuga kwa vile anajua hatuwezi kuipima hiyo Mimba ya Gwajima kwenye test ya DNA, ngoja photocopy ya Gwajima mzee wa chopa itoke tuone. Vipi kuhusu kununuliwa Prado na Gwajima amesemaje? Au ndio hizo anazoita ndoto zinatimia. Namuonea huruma sana Emma Mbwasha, Kama kuna mwana JF ana kile kibao cha "wanaume tumeumbwa mateso" akitupie hapa kiniburudishe na jamaa yangu Bujibuji
haya,maswali nayarudisha,na wewe ulijuaje hayo uliyoyaandika?
au mimba haimtaki emmanuel ndio maana karudi, eti gwajima anko wake,
Maandiko kuhusu upendo yanatuambia; utampendaje baba wa mbinguni ambaye humuoni na kumchukia jirani yako ambaye upo naye? Hivyo unapompenda jirani/ndugu/ partner wako umempenda Mungu pia"Nampenda sana Mbasha, ila nampenda Mungu zaidi"... Hii sentensi haijaniingia vizuri, hivi ameulizwa aseme anayempenda sana kati ya Mungu na mumewe? Kuna mtu anayempenda binadamu mwenzie zaidi kuliko Mungu???. Anyway me nawaombea tu wamalize tofauti zao na mumewe.
Ndugu gani mumeo hamjui? Alikuwa anaimba kwenye mikutano ya injiri ya Gwajima pale Morogoro tena kwa malipo. Leo kawa Anko?ulitaka awe babuyake?
ndugu gani mumeo hamjui? Alikuwa anaimba kwenye mikutano ya injiri ya gwajima pale morogoro tena kwa malipo. Leo kawa anko?
Maandiko kuhusu upendo yanatuambia; utampendaje baba wa mbinguni ambaye humuoni na kumchukia jirani yako ambaye upo naye? Hivyo unapompenda jirani/ndugu/ partner wako umempenda Mungu pia