nkandereni
Member
- Sep 24, 2013
- 6
- 8
Eti uncle. Kwa hiyo mumewe alikua hajui kwamba yule alikua uncle wao? Uncle kawa ankaliii!
Kama hawaja solve hizo 'internal affairs' ambazo Flora kasema hawezi kuziongelea itakuwa ngumu kurudisha majeshi. MUNGU awasimamie warejeaneWote mnasema mnapendana,sasa kwanini hamrudiani?
Hivi huyo dada baada ya mivutano yooote leo anakuja na hadithi ya mimba ya bro Emma kweli?Mungu alikupa karama sio ya kujitukuza kwa mambo ya kidunia na umaarufu m bovuuu!Usiwe sababu ya watu kuuchukia uokovu!!
Hayo ya flora.. vp mbasha anasemaje sasa...
mmmh hayo ya ngoswe me sitii neno.
Mimba ya Gwajima hiyo.Aibu kubwa sana kwako Flora
"wanaume tumeumbwa... mateso kuhangaika"Anatuzuga kwa vile anajua hatuwezi kuipima hiyo Mimba ya Gwajima kwenye test ya DNA, ngoja photocopy ya Gwajima mzee wa chopa itoke tuone. Vipi kuhusu kununuliwa Prado na Gwajima amesemaje? Au ndio hizo anazoita ndoto zinatimia. Namuonea huruma sana Emma Mbwasha, Kama kuna mwana JF ana kile kibao cha "wanaume tumeumbwa mateso" akitupie hapa kiniburudishe na jamaa yangu Bujibuji