Florah Mbasha: Mimba niliyonayo ni ya Mume wangu sio ya Gwajima

Florah Mbasha: Mimba niliyonayo ni ya Mume wangu sio ya Gwajima

Eti uncle. Kwa hiyo mumewe alikua hajui kwamba yule alikua uncle wao? Uncle kawa ankaliii!

Hahaaaaaa haaaaa Uncle si Mjomba, so ni ruksa kulala nae, Angekuwa mjomba kaka sa mama yake hapo sawa, anko ni mwanaumd yeyote, sawa na Aunt haimanish shangaz but humanisha demu
 
Hii series nomaaaaaaaa, Episode ijayo natabiri mbasha atakubari kuwa hiyo ni mimba yake :llama: ili asamehewe mimi natabiri tu,
 
tpaul

Hahahaa....Mkuu umenikosha kweli....maana labda kaipata kwa Osmosis au diffusion kweli!
 
Last edited by a moderator:
Flora Mbasha ulishachafuka kujisafisha inabidi utumie gharama kubwa!Ancle haiwezi kuja kwa kusema wewe bali jamii ndiyo inatakiwa kusema kuwa huyo Mchungaji Gwajima ni kaka wa Mamayako lakini si wewe kusema!Kwa hali ilipofikia hutakiwi kujisafisha kwakutumia media soap kwani ukiangalia zaidi hiyo media soap inazidi kukuweka uchafu!
 
Wote mnasema mnapendana,sasa kwanini hamrudiani?
Kama hawaja solve hizo 'internal affairs' ambazo Flora kasema hawezi kuziongelea itakuwa ngumu kurudisha majeshi. MUNGU awasimamie warejeane
 
Hivi huyo dada baada ya mivutano yooote leo anakuja na hadithi ya mimba ya bro Emma kweli?Mungu alikupa karama sio ya kujitukuza kwa mambo ya kidunia na umaarufu m bovuuu!Usiwe sababu ya watu kuuchukia uokovu!!

Yani natamani nimtusi huyu FLORA.,, basi tu nahisi bado namuheshimu.
 
Dogo alie tumboni ana zali baba ake ana chopa..yaani akizaliwa tu anakuta v8 pembeni,vogue kwa mbele,hummer kwa nyuma CHOPA katikati.
 
Haya mambo ya facebook ya EATV mbona ni ya kidunia sana!!!! Nashauri wapendwa wote waachane na mambo haya ya kidunia. Hapa si anajianika tu? Hayo alitakiwa aongee na mume wake sio kuyaweka hadharani ili umma ujue. So what? My advice to you Flora: "Tengeneza ndoa yako na mume wako Emmanuel". Spilling the beans to the world is not an answer to your problems Remote
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: kui
Anatuzuga kwa vile anajua hatuwezi kuipima hiyo Mimba ya Gwajima kwenye test ya DNA, ngoja photocopy ya Gwajima mzee wa chopa itoke tuone. Vipi kuhusu kununuliwa Prado na Gwajima amesemaje? Au ndio hizo anazoita ndoto zinatimia. Namuonea huruma sana Emma Mbwasha, Kama kuna mwana JF ana kile kibao cha "wanaume tumeumbwa mateso" akitupie hapa kiniburudishe na jamaa yangu Bujibuji
"wanaume tumeumbwa... mateso kuhangaika"
 
Back
Top Bottom