Florah Mbasha: Mimba niliyonayo ni ya Mume wangu sio ya Gwajima

Mimba aliipata lini. Akiwa kwa mbasha au. Kama ni akiwa na Mbasha basi inaweza kuwa ndicho chanzo cha kutoelewana. Mimba nyingine ni balaa. Ila DNA ichukue.mkondo.
 
Maandiko kuhusu upendo yanatuambia; utampendaje baba wa mbinguni ambaye humuoni na kumchukia jirani yako ambaye upo naye? Hivyo unapompenda jirani/ndugu/ partner wako umempenda Mungu pia

Kwahiyo ndio uliambiwa umpende huyo jirani yako zaidi ya Mungu?
 
Mimba aliipata lini. Akiwa kwa mbasha au. Kama ni akiwa na Mbasha basi inaweza kuwa ndicho chanzo cha kutoelewana. Mimba nyingine ni balaa. Ila DNA ichukue.mkondo.

Wewe acha hizo sio kwakiwango chakuachana kabisa mpaka mnapeana vyesi ....mimba huwa mtu anakuwa mkali basi lakini sio kukimbia mji na kulala lodge.
 
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa ni mimi ni kada, na mgombea aliyepitishwa na chama chetu kwa jimbo la Kawe ni Gwajima, naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Gwajima 100% kwa 100% nikalikomboe jimbo, tulirejeshe CCM!.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
 
Hayo uliyaandika yako tunachoshukuru ni kutufukulia kaburi.
 
Kwa hiyo wewe unamuunga mkono au kumpinga kwa kuangalia anatoka chama gani na si kuangalia ukweli ni upi? Mimi ni mtu mdogo sana sistahili hata kufungua gidamu za viatu vyako mkuu ila kwa hapa nadiriki kusema kama wewe ndio aina ya wanahabari tulionao basi we are finished
 
Mmh pascal bhana haya.
 
[emoji23][emoji850][emoji135]

JESUS IS LORD[emoji120]
 


dingi umepaninki

kwa mujibu wa katiba ni haki yako kumuunga mkono

pia ww kumuunga mkono hakuondoi ukweli kuwa alicheza x,ama aliahidi kugeuza madrasa kuwa sunday school..

na pia hajawahi kufufua...hata panya sembuse ntu[/QUOTE]
 
Asante kada mwenzangu!
Nami nilikuwa namponda sana Gwaji Boy lakini sasa amekuwa kada mwenzetu, tunasameheana .
Ameonekana ana political capital.
 
Mrejesho vipi, mwaka wa sita Sasa.

Uyo Mtoto anafanana na gwajima au mbasha
 
Kumbe na wewe na akili zako zote umechagua kujiunga na kikundi cha banyamulenge
 
Tena you are finished completely.
 
Hamna lolote ukabila mnaoendeleza tunaujua
 
Wanabodi yeyote mnaemjua ambae amefufuliwa na gwajiboi naomba mawasiliano nae.
 
CCM walitaka nini walipomteua Gwajima kugombea ubunge? Kwani ni lazima kila kundi liwakilishwe? Wasanii wamewakilishwa zaidi ya mahitaji, maana hata huyu naamini ni msanii tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…