sio kua tanzania kuna magazeti ya udaku tu, ila hata watanzania wengi wadaku pia, mi nilikua naona mi thread mikubwa humu, fulani katembea na fulani, utafikiri waliwapiga picha wakati wa tukio hama wana kithibitisho fulani cha wazi, mbaya zaidi wengine wakapost picha ya lidada limejazia wakidai ndio mbakwa kumbe kuja kujua mbakwa ni kabinti kadogoo wala sio picha waliyochopost humu,sasa nikajiuliza mtu anapo post huwa anapost tu awe ka post au? Wengine from nowhere eti oooh aliyebakwa ni yule aliyegiza porn na ngasa mmh hapo ndio nikaona tuna mixiana tu humu. Basi tusiwe wajinga wakubeba kila tunalolisikia. Kama ujui kitu nyamaza tu, sasa kama ni kweli wamerudiana basi aibu ni kwa waongeaji/wadaku wa nje ya ndoa yao. Ki ukweli yameongewa mengi ktk hii movie ila waongeaji hawajui wht was behind the scene kama nasi tusivyojua pia