Florah Mbasha na mumewe "WAPATANA"

warumii naona Jide balaa anaendelea na kipindii,cha bibi bomba liniii???
 
Last edited by a moderator:
Loioiiiii makubwaaaaaa nipe umbeaaaaa miee soko letu bado la mzikii

Ajenge na yeye mgahawa kama jide akitulize wawe wanacheza ngololo na ma dancer wake ajiingizie vijisent, maana ndomo anavyopenda safar za nje hawachekani na baba mwafulani
 
warumii naona Jide balaa anaendelea na kipindii,cha bibi bomba liniii???

We unamfananisha huyo bibi bomba na jide? Jide matawi mengine anadhaminiwa na makapuni makubwa yenye mpunga wa maana, sasa bibi bomba atamdhamini nani?? Bwana ake mwenyew chai jaba kampotezea kama hamjui, sasa limebak halijielewi na shoga ake cheusi dawa.
 
Last edited by a moderator:

Hahhhha lo sina mbavuuuuuu
 
Mbasha amehatarisha maisha yake kwa kutoa siri za watu then anaridi tena very dangerous
 
Huyo mwanaume wa kulisha mpaka mwisho wa dunia, hai=onekani kama anaweza tafuta hata elfu moja kwa siku? anakula sura yake tu afanyeje?????
 

Ha ha ha ni shiida umenifurahisha aisee bibi bomba a.k.a mama ubaya
 
kweli wewe ni mr. Wise nimekupendaje bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…