Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pesa hatuna! Si umeona hata Fei tulikuwa tumlisha Ugali kwa SukariTimu za bongo zijifunze kuweka mzigo wa maana kuwalinda makocha wanaoonesha uwezo!
Nabi angetulia hata misimu minne zaidi.
Shida mikataba ya kuunga unga...kocha anaondoka akiwa free agent timu haifaidik na chochote.....Tatizo watu wanaishi kwa ktegemea timu kama wachezaji banaTimu za bongo zijifunze kuweka mzigo wa maana kuwalinda makocha wanaoonesha uwezo!
Nabi angetulia hata misimu minne zaidi.
Huyu Ibenge ni miongoni mwa makocha wakubwa kabisa Barani Afrika. Na hakuna ubishi katika hili.Salaam wananchi,
Tetesi Zilizonifikia ni kua kocha maaru Florent Ibenge, ambaye ashawahi ikoach RS Berkane na Al Hilal ndio mbadala wa kocha Nasredeen Nabi ambaye anatimkia south africa.
Vipi ataweza ama atazingua?
View attachment 2656220
Ninavyo fahamu mimi, Kocha Nabi ana mkataba na Yanga mpaka mwakani (2024). Ni baadhi tu ya wasaidizi wake ndiyo mikataba yao inaisha msimu huu.Shida mikataba ya kuunga unga...kocha anaondoka akiwa free agent timu haifaidik na chochote.....Tatizo watu wanaishi kwa ktegemea timu kama wachezaji bana
bora ya micho,hamna kocha hapa kumpa bichwa tuSalaam wananchi,
Tetesi Zilizonifikia ni kua kocha maaru Florent Ibenge, ambaye ashawahi ikoach RS Berkane na Al Hilal ndio mbadala wa kocha Nasredeen Nabi ambaye anatimkia south africa.
Vipi ataweza ama atazingua?
View attachment 2656220
Kama pep gadioTimu za bongo zijifunze kuweka mzigo wa maana kuwalinda makocha wanaoonesha uwezo!
Nabi angetulia hata misimu minne zaidi.
Kakutana na simba mara 6 na timu mbili tofauti . kashinda 2 kakandwa 4. Mtamkana mapema tu.Si tulikubaliana anaenda Azam au?
Thread 'Njia nyeupe kwa Florent Ibenge kutua Azam FC'
Njia nyeupe kwa Florent Ibenge kutua Azam FC
Sure kabisa.Ibenge ana jina kubwa Sana ila uwezo wake ni mdogo Sana. Nabi ndiye kocha wa kwanza kuondoka Tanzania [emoji1241] Kila mmoja akikiri uwezo wake mkubwa. Ameondoka mwenyewe hajafukuzwa , ameondoka mwenyewe akiwa hanaugonvi na timu pinzani. Anaondoka mwenyewe Kila Mtanzania anampenda
Haya ndio matatizo ya akili sasa.Kakutana na simba mara 6 na timu mbili tofauti . kashinda 2 kakandwa 4. Mtamkana mapema tu.
Mkuu , huo ndiyo ukweli . Huyo huwa ni kibonde wa simba. Ipo siku utayakumbuka haya manenoHaya ndio matatizo ya akili sasa.