daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Siyo suala kujifunza. Uwezo huo wanao?Timu za bongo zijifunze kuweka mzigo wa maana kuwalinda makocha wanaoonesha uwezo!
Nabi angetulia hata misimu minne zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo suala kujifunza. Uwezo huo wanao?Timu za bongo zijifunze kuweka mzigo wa maana kuwalinda makocha wanaoonesha uwezo!
Nabi angetulia hata misimu minne zaidi.
Hatafutwi kocha wa kuifunga SimbaKakutana na simba mara 6 na timu mbili tofauti . kashinda 2 kakandwa 4. Mtamkana mapema tu.
Hela zipo simba tu utopolo ni wazee wa mabakuripesa hatuna! Si umeona hata Fei tulikuwa tumlisha Ugali kwa Sukari
nabi yupo haondokiTimu za bongo zijifunze kuweka mzigo wa maana kuwalinda makocha wanaoonesha uwezo!
Nabi angetulia hata misimu minne zaidi.
Kwani Nabi anaidai YANGA?Tushindwe kumlipa Nabi tuweze kwa Ibenge? Vitu vingine havina maana kutupanga
Inawezekana kwa Nabi haya ndiyo mafanikio yake ya juu na mpira ni kama bahati nasibu, ameshatangaza jina ni bora akatafute timu nyingine la sivyo anaweza hasije kuyafikia haya mafanikio.Timu za bongo zijifunze kuweka mzigo wa maana kuwalinda makocha wanaoonesha uwezo!
Nabi angetulia hata misimu minne zaidi.
Mkuu kocha kuondoka sio kwamba tumeshindwa kumlipa, Pep aliondoka Barca na Bayern Munich sio kwasababu ya malipo ni maamuzi tu ya kutafuta changamoto mpyaMmmh! hadai hata mia, mie hoja yangu ni kwamba Nabi akiondoka ni kwa vile tutakuwa tumeshindwa kumlipa kile anachofikilia anasitahili, sasa kama kwake tumeshindwa, je kwa Ibenge tutaweza?
Kwani si huyu huyu aliwakanda Makolo hamsaMleteni ibenge tumdunde km kama tulivyokua tunamgonga akiwa As vita club
Wewe ni taahiraNabi anamkimbia Robertinho.
Utakuwa umeipunguzia Nini klabu kenge weweHuyo idenge wenu akija Yanga me naacha kuishabikia mpaka aondoke, kocha msenge sana huyo.
Ana kombe gani huyo chizi?Nabi anamkimbia Robertinho.
SawaMashine yako ya kupima akili inazingua
Kombe la kumkanda Yanga kila akikutana nayo.Ana kombe gani huyo chizi?
HapanaInawezekana kwa Nabi haya ndiyo mafanikio yake ya juu na mpira ni kama bahati nasibu, ameshatangaza jina ni bora akatafute timu nyingine la sivyo anaweza hasije kuyafikia haya mafanikio.
Akija kocha mwingine naamini Yanga itaweza kufanya vizuri zaidi ya ilichokifanya mwaka huu.
Kwenye app ya Transfer Markt mkataba wake ni mpaka June 2024Hapana
2012 alishinda caf confederation cup akiwa na Ac leopard ya Kongo
Sawa tu