BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Hatimaye bondia machachari na mwenye pesa, alieweka rekodi ya kutopigwa kwa mapambano ya ngumi 50, amejipongeza kwa kushinda pambano lake la mwisho na McGregor ambae ni bingwa wa UFC, kwa kununua jumba la kifahari huko Beverly Hills nchini Marekani..pambano hilo lilimuingizia Mayweather zaidi ya hela ya kitanzania Bilioni 225, na hakupoteza muda kuitumia hela yake hio aliyopata kwa kujipongeza.
Jumba hilo amelinunua kwa shilingi Bilioni 60 za kitanzania. Mayweather pia ametumia zaidi ya Bilioni 1 za kitanzania kufanya tu furnishing ndani ya nyumba yake hio mpya.
Jumba hilo lina ukumbi mkubwa wa kuangalia sinema, vyumba vya wageni, na sehemu nzuri ya kustarehe nje ikiwemo sehemu nzuri ya kuogelea.
Hii ni kwa ufupi tu, unaweza kuangalia zaidi picha hapo chini.
Everything is possible if you put your mind on it.
Jumba hilo amelinunua kwa shilingi Bilioni 60 za kitanzania. Mayweather pia ametumia zaidi ya Bilioni 1 za kitanzania kufanya tu furnishing ndani ya nyumba yake hio mpya.
Jumba hilo lina ukumbi mkubwa wa kuangalia sinema, vyumba vya wageni, na sehemu nzuri ya kustarehe nje ikiwemo sehemu nzuri ya kuogelea.
Hii ni kwa ufupi tu, unaweza kuangalia zaidi picha hapo chini.
Everything is possible if you put your mind on it.